Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Salah gave us 2 world class performances kwenye FIFA club world cup, yet credits alizopewa ni ndogo sana..

Yes, y'day he had a poor game, but Mane had a poor game too (alitoa assist but ni kitu ambacho hata Salah huwa anafanya akiwa na off game)..


Front 3 pekee aliyekuwa vizuri jana ni Bobby tu, but why ni yeye pekee anayekuwa scapegoated? he's been a world class player for us tangu amekuja LFC, been on & off form for few months, because tunasahau kuwa tangu aje LFC, ndiye mchezaji aliyecheza minutes nyingi sana chini ya Klopp, so ilikuwa lazima fatigue impate baada ya kucheza kwa high pace/power for 2 seasons in a row, Yes yupo off form, but ana goals si chini ya 13 na assists 7, kwa competitions zote msimu huu, hiyo siyo idadi ndogo hiyo, kuna STs bado wana-struggle kufikisha hiyo idadi this season.

few weeks ago, me & Ed tulikuwa tuna-discuss kuhusu form ya Firmino, (he was having bad games), but now tunaona jinsi anavyotuokoa kwa his important goals, huwezi amini kama alikuwa kwenye very bad patch few weeks zilizopita, front 3 wanacheza games nyingi sana kwasababu hatuna players ambao wana quality sawa na wao kwaajili ya ku-cover places zao kwenye games muhimu, na ndiyo maana wanacheza week in, week out, wanachoka but bado wanaendelea kutupa results tunazohitaji kila siku, kuna club ipo jiji la manchester ina options za kutosha sana kwenye foward line yao, but tumeipita points za kutosha kwenye title race, because tuna front-3 ambayo inajitahidi kila kukicha kutupa results bila kuchoka, but ikitokea wameingia kwenye bad-patch watu wanaanza kuwaongelea vibaya, especially Salah.

Kuna jamaa hapo anasema Salah siyo team player? How kisa alivyotoka dk ya 70+ tulifunga goals 3? forgeting the fact kuwa seconds baada ya Salah & Keita kutoka tulipata penalty, ambayo ilitibua mipango yote ya Brendan Rodgers (low block with Counter), forgeting kuwa first half yote Leicester walikuwa weme-sit deep na kusubiria counters (hence Vardy managed very few touches kwenye box letu), but baada ya goal la 2, Rodgers decided to attack us, and that was his end kwa jana, as he allowed us to exploit more space kwanzia katikati mpaka upande wa kulia, sub ya Milner ilikuwa ni ku-ease down temple ya game na ku-block counters za Leicester (as Keita alianza kuchoka, it was reasonable as alikuwa amecheza dk za kutoka at qatar), so the sub was spot on, but baada ya Milner kufunga lile goal, game ikawa open, na kutufanya tucheze mpira wetu wa siku zote as we switched to 4321 na kumaliza game, but mtu anayeangalia mpira kiushabiki atakwambia ilikuwa ni kwasababu ya Salah kutoka, Keita was WORLD CLASS y'day controlled the entire MF kwenye first half & second half mpaka alivyotoka, (he was the main core kwa jinsi tulivyodominate Lei's MF), but naye alivyotoka ndiyo tukafunga 3 goals, so nae siyo team player? kwa mtu yeyote anayeangalia mpira angegundua kuwa Lei ABADONDED their game-play baada ya kuwafunga goal la pili.

I hate it when watu wanakuwa na agendas na players ambao wametufikisha hapa tulipo leo, bila save ya Alisson na GOAL la Salah against Napoli leo hii tusingekuwa na Trophies zaidi ya 3, Shabiki wa LFC unakuwa unashindwa kujivunia mchezaji ambaye kwenye kila records za EPL yupo, unapomzungumzia kina Shearer/Henry/Rooney/Lampard etc kwenye EPL goal-ratios jina la Salah lazima litakuwepo, but unakuta kuna ignorant LFC fan anakuwa na agenda na mchezaji wa namna hii ambaye anachezea team yake anayoi-support.

Yes, Salah is just a player, & he's in no-way bigger than the club, & just like any other player, hana immunity ya criticzim kabisa, but when you want to criticze mchezaji aina ya salah, ni lazma uweke stupid agendas pembeni, na kama huwezi kabisa kuwa na ethics za criticizm, ni bora usifanye kabisa hivyo because kuwa na agenda dhidi ya mchezaji calibre ya Salah unaonekana ni mpumbavu..

He's not a SHIT or AVERAGE player, he's WORLD CLASS player, personally huwa nakuwa na agenda/dismiss SHIT/AVERAGE players because they bring NOTHING to the team, i'll criticize Salah like just any other player, but having an agenda against him? Man thats so stupid, this dude played a HUGE part kwa mafanikio tuliyonayo sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Merry Christmas belated mate...

On spot Salah is irreplaceable in Klopp, him and VVD have clocked loads of minutes for the past two seasons I guess more than any other player.. That alone speaks volume as no manager will field a player in front fail to deliver and clock all those minutes...

I have said time and time again I will take Salah, Mane and Firmino any day of the week, having said i agree with your summary on Salah contribution to what we are celebrating now in terms of trophies he has done us wonders...

In Doha he gave his all and that cute pass for Keita goal was world class..

His end work jana was not superb probably he is victim of his own standard maana those sweet chances at his level were goals in some other day.. He must have been worn out from Doha and the season is eating him big time...

We have seen all our front three have that low patch at times the good thing it's rarely all 3 together mostly it's either one or two but mostly Salah has stand out when it's comes to who recovers quick and back to scoring and creating goals... Jana Mane chances were even sweeter than Salah I would say but his out put was superb not scoring didn't derail his game minus the goals missed..

Firmino was reborn at Doha before that he was trash losing balls, losing position nk but as you have said we stick with them because we lack a proper bench especially to give them recovery time when games become thick and fast... Sticking with them also is the proper way as they don't regain thier form in the training ground rather in real game which have worked so well for us...

Klopp jana was not impressed with Salah could see how irritated he was and its for the 1st time I have seen Klopp in that mode toward Salah though its was partial..

Have said Only Messi have been in that form since he started making headlines he has maintained that form,like this season Messi started this season injured he didn't play the early games and yet now he is leading top scorer in La Liga...

Otherwise we await Wolves at home come Sunday and finish the year high having lost just once in this calendar year..
 
Loool

Basi, ni wale aina ya watu ambao wanapenda ku-prove a point.

Internet imeharibu sana watu, everybody can have an opinion kuhusu vitu asivyoelewa kwasababu ana simu na uwezo wa kuandika kile anachojisikia.

Ndiyo maana, threads za politics kwenye hii forum zinakuwa(ga) za ajabu ajabu sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeacha kabisa kwenda jukwaa la siasa

Ni Rubbish tupu ani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Loool

Basi, ni wale aina ya watu ambao wanapenda ku-prove a point.

Internet imeharibu sana watu, everybody can have an opinion kuhusu vitu asivyoelewa kwasababu ana simu na uwezo wa kuandika kile anachojisikia.

Ndiyo maana, threads za politics kwenye hii forum zinakuwa(ga) za ajabu ajabu sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeacha kabisa kwenda jukwaa la siasa

Ni Rubbish tupu ani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7147.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Merry Christmas belated mate...

On spot Salah is irreplaceable in Klopp, him and VVD have clocked loads of minutes for the past two seasons I guess more than any other player.. That alone speaks volume as no manager will field a player in front fail to deliver and clock all those minutes...

I have said time and time again I will take Salah, Mane and Firmino any day of the week, having said i agree with your summary on Salah contribution to what we are celebrating now in terms of trophies he has done us wonders...

In Doha he gave his all and that cute pass for Keita goal was world class..

His end work jana was not superb probably he is victim of his own standard maana those sweet chances at his level were goals in some other day.. He must have been worn out from Doha and the season is eating him big time...

We have seen all our front three have that low patch at times the good thing it's rarely all 3 together mostly it's either one or two but mostly Salah has stand out when it's comes to who recovers quick and back to scoring and creating goals... Jana Mane chances were even sweeter than Salah I would say but his out put was superb not scoring didn't derail his game minus the goals missed..

Firmino was reborn at Doha before that he was trash losing balls, losing position nk but as you have said we stick with them because we lack a proper bench especially to give them recovery time when games become thick and fast... Sticking with them also is the proper way as they don't regain thier form in the training ground rather in real game which have worked so well for us...

Klopp jana was not impressed with Salah could see how irritated he was and its for the 1st time I have seen Klopp in that mode toward Salah though its was partial..

Have said Only Messi have been in that form since he started making headlines he has maintained that form,like this season Messi started this season injured he didn't play the early games and yet now he is leading top scorer in La Liga...

Otherwise we await Wolves at home come Sunday and finish the year high having lost just once in this calendar year..
Salah needs a rest, a good rest.

But, sadly kum-rest ni kama ku-take a huge risk now, so cant see Klopp benching him, anaweza akawa anamchezesha for 60/65 minutes na kum-toa, but kwa jana kutomchezesha Salah isingekuwa proper call kabisa.

Atarudi kwenye form yake soon sana. We just need to be patient.


Merry Xmas brother, hope you had a blast.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom