AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,319
- 4,140
Salah ndo ana kariba hiyo ya kizani kitokufunga basi ndo umechemka na ndio maana asipofunga anakuwa selfish zaidi but mane hanaga hizo afunge asifunge moto wake utauona...Yah man..bolded.Kuwa out of form ni kucheza vibaya...So far Mane hayupo out of form.Anacheza vizuri ingawa hafungi...na timu inashinda.Some players miss that fighting spirit..they are desperate to score as the only way to remain on news...Its easy for those players to be seen out of form when they do not score since its their only way to "play good"..Mane is not that kind of player
Sent using Jamii Forums mobile app
