Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Sina hofu kabisa na mechi ya leo,Kwa sasa imani niliyonayo kwa Vijana wetu ni kubwa sana.
WE GO AGAINNNNNNNNNN.
Kweli una Imani lakini Imani siyo inayocheza.
Mimi nina wasiwasi Mkubwa na Game ya leo Leicester kutukazia.
But ninatarajia ushindi.