same situation,same nationality. It 's coming to home.
Nakumbuka kuna gemu moja dhidi ya Manchester United alifanya kazi nzuri sana...Jamaa alikuwa ni winger mzuri, mwisho alikimbilia Ureno. Sijamsikia tena.
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
So you are a spy broh...Baada ya game nilikesha naangalia YouTube, baada ya "boss" kurudi mlimani kwenye camp yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Legend at such a tender age...
hakuna mahali au wakati wowote nilipowahi kuandika eti namchukia au kumpenda mchezaji wa LFC mmoja zaidi ya wengine (including your Hendo).Mkuu like seriously Keita Ana poor form????
Najua unampenda Hendo ila for this man your too wrong khaa
hakuna mahali au wakati wowote nilipowahi kuandika eti namchukia au kumpenda mchezaji wa LFC mmoja zaidi ya wengine (including your Hendo).
mimi naipenda squad nzima ya LFC (wakiwemo Hendo wako, Keita, etc) ambayo within 6 months imeweza kutupa heshima kubwa ya kutuletea kabatini makombe 3 muhimu ya kimataifa.
lakini pia nilichosema si uongo... kwamba katika kipindi chote tangu Keita asajiliwe, Hendo amekuwa more reliable in the eye of our gaffer kuliko Keita. kuna kipindi kuna wise redmen walianza kum brand Keita eti ni "Klopp's flop".
tuwe objective.... Hendo ana udhaifu wake but pia Keita siyo perfect. I'll leave it to the gaffer to deploy the best XI on the pitch.... so far it's working with 3 big trophies in our cabinet.
Klopp is wise enough to borrow a leaf or two from the legendary Bill Shankly whose two of the most popular wise quotes ran as thus....
1. why fix something if it ain't broken?
2. a football team is like a piano. you need eight men to carry it and three who can play the damn thing.
siioni sababu ya kutoelewana ndugu yangu. sote tunajenga nyumba moja, huyu anachangia mchanga yule simenti.Let's end the issue mkuu maana hatutaelewana through hii new view uliyoandika hapa
My quote ililenga only 'Keita poor form' uliyoleta
hakuna mahali au wakati wowote nilipowahi kuandika eti namchukia au kumpenda mchezaji wa LFC mmoja zaidi ya wengine (including your Hendo).
mimi naipenda squad nzima ya LFC (wakiwemo Hendo wako, Keita, etc) ambayo within 6 months imeweza kutupa heshima kubwa ya kutuletea kabatini makombe 3 muhimu ya kimataifa.
lakini pia nilichosema si uongo... kwamba katika kipindi chote tangu Keita asajiliwe, Hendo amekuwa more reliable in the eye of our gaffer kuliko Keita. kuna kipindi kuna wise redmen walianza kum brand Keita eti ni "Klopp's flop".
tuwe objective.... Hendo ana udhaifu wake but pia Keita siyo perfect. I'll leave it to the gaffer to deploy the best XI on the pitch.... so far it's working with 3 big trophies in our cabinet.
Klopp is wise enough to borrow a leaf or two from the legendary Bill Shankly whose two of the most popular wise quotes ran as thus....
1. why fix something if it ain't broken?
2. a football team is like a piano. you need eight men to carry it and three who can play the damn thing.
Lol...... umeona eh?Haha Bill Shankly Kwa quotes hajambo
1) "Some people think football is a matter of life and death. I don't like that attitude. I can assure them it is much more serious than that.'
2) "The trouble with referees is that they know the rules, but they do not know the game" .
3) "A lot of football success is in the mind. You must believe you are the best and then make sure that you are".
4) "Aim for the sky and you'll reach the ceiling. Aim for the ceiling and you'll stay on the floor".
5) "What a great day for football, all we need is some green grass and a ball".
6) "Football (soccer) is a matter of life and death, except more important".
7) "If Everton were playing down the bottom of my garden, I'd draw the curtains".
What's a gaffer this great man was..
YNWA






#YNWA