Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Merry Christmas belated Kwa watu wanguvu sana Aaron Arsenal, DullyJr, Ollachuga Oc, Southern Highland, Kimario, Honnestly, Mc Cain, Numbisa, Pain Killer na wengine wote wageni wetu kutoka vilabu tofauti wanaotembelea kwenye uzii huu mubashara....
 
true... aliipenda LFC kiasi kwamba akawa na traits za ki born-Scouser than Scottish.

Msikie hapa kuhusu Everton tena

"When I’ve nothing better to do, I look down the league table to see how Everton are getting along."

"Sickness would not have kept me away from this one. If I’d been dead, I would have had them bring the casket to the ground, prop it up in the stands, and cut a hole in the lid. (After Liverpool beat Everton in the 1971 FA Cup semi-final)"

Hahahaha noma sanaaa huyu jamaaa
 
Msikie hapa kuhusu Everton tena

"When I’ve nothing better to do, I look down the league table to see how Everton are getting along."

"Sickness would not have kept me away from this one. If I’d been dead, I would have had them bring the casket to the ground, prop it up in the stands, and cut a hole in the lid. (After Liverpool beat Everton in the 1971 FA Cup semi-final)"

Hahahaha noma sanaaa huyu jamaaa
Lol
 
mkuu kama unakumbuka ishu ya Alonso haikuanzia ule msimu aliokuja Aquilan.......

nadhan ilikua msimu wa 08/9 (sina kumbukumbu nzuri hapa) benitez alimtaka Barry..... niliwahi soma mahali wakasema Gerald ndio alikua anashawishi barry asajiliwe......

tom&hicks wakazingua mpunga, nadhan ilikua enzi za ricky parry kama CEO, rafa akaona amuuze alonso juve ili apate mpunga wa kumleta barry....... hilo halikufanikiwa, alonso akamind....


so next season alonso akaondoka, barry hakuja tukaishia kwa aquilan..... he was not the first choice tho!


ktk utawala wa Ricky Parry chini ya T&H nadhan haitakua sahihi kuwalaumu makocha!
Nakumbuka kuna gemu moja dhidi ya Manchester United alifanya kazi nzuri sana...

Benitez pamoja na yote mazuri alichangia kutuvuruga kitendo cha pia kutofautiana na Alonso akaodoka na kusajili eti Aquilani ilikua ni janga lingine...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna mahali au wakati wowote nilipowahi kuandika eti namchukia au kumpenda mchezaji wa LFC mmoja zaidi ya wengine (including your Hendo).
mimi naipenda squad nzima ya LFC (wakiwemo Hendo wako, Keita, etc) ambayo within 6 months imeweza kutupa heshima kubwa ya kutuletea kabatini makombe 3 muhimu ya kimataifa.

lakini pia nilichosema si uongo... kwamba katika kipindi chote tangu Keita asajiliwe, Hendo amekuwa more reliable in the eye of our gaffer kuliko Keita. kuna kipindi kuna wise redmen walianza kum brand Keita eti ni "Klopp's flop".

tuwe objective.... Hendo ana udhaifu wake but pia Keita siyo perfect. I'll leave it to the gaffer to deploy the best XI on the pitch.... so far it's working with 3 big trophies in our cabinet.

Klopp is wise enough to borrow a leaf or two from the legendary Bill Shankly whose two of the most popular wise quotes ran as thus....

1. why fix something if it ain't broken?

2. a football team is like a piano. you need eight men to carry it and three who can play the damn thing.
mkuu, mtu ambae anakua majeruhi mda mwingi unamwitaje flop?........


nilidhan flop ni mtu ambaye anapewa nafasi ila hana matokeo chanya?..... hivi tunaweza kusema nathan clyle ni flop?.........


shida kubwa ya waingereza, mchezaji asie mzawa wako fasta kum-brand flop wkt takataka zao wanazisafisha sana!.......


hendo amekuepo liver zaid ya misimu 6, hakuna na matunda huko nyuma ila hawajawahi kumwita flop (well, kwa sasa anacheza vizuri)...... waingereza wanafiki sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kama unakumbuka ishu ya Alonso haikuanzia ule msimu aliokuja Aquilan.......

nadhan ilikua msimu wa 08/9 (sina kumbukumbu nzuri hapa) benitez alimtaka Barry..... niliwahi soma mahali wakasema Gerald ndio alikua anashawishi barry asajiliwe......

tom&hicks wakazingua mpunga, nadhan ilikua enzi za ricky parry kama CEO, rafa akaona amuuze alonso juve ili apate mpunga wa kumleta barry....... hilo halikufanikiwa, alonso akamind....


so next season alonso akaondoka, barry hakuja tukaishia kwa aquilan..... he was not the first choice tho!


ktk utawala wa Ricky Parry chini ya T&H nadhan haitakua sahihi kuwalaumu makocha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi...

Barry aliwachagua Manchester City na kumuacha Benitez sweating...

Aquilani was bought akiwa magonjwa n he never came near what Alonso was giving us..

When Real Madrid came calling its was pay back na Alonso alikimbilia kule..

Benitez could have been smart to handle the issue wisely..

By the way British media walisema alikua anamkimbia Barry Hahaha eti Barry was much better than him lol Waingereza hua hawaishi vituko..
 
mkuu, mtu ambae anakua majeruhi mda mwingi unamwitaje flop?........


nilidhan flop ni mtu ambaye anapewa nafasi ila hana matokeo chanya?..... hivi tunaweza kusema nathan clyle ni flop?.........


shida kubwa ya waingereza, mchezaji asie mzawa wako fasta kum-brand flop wkt takataka zao wanazisafisha sana!.......


hendo amekuepo liver zaid ya misimu 6, hakuna na matunda huko nyuma ila hawajawahi kumwita flop (well, kwa sasa anacheza vizuri)...... waingereza wanafiki sana

Sent using Jamii Forums mobile app
chief, aliyemwita Keita "flop" siyo mimi.... ni some wise reds wanaokosa uvumilivu kwa players wetu!!
 
Upo sahihi...

Barry aliwachagua Manchester City na kumuacha Benitez sweating...

Aquilani was bought akiwa magonjwa n he never came near what Alonso was giving us..

When Real Madrid came calling its was pay back na Alonso alikimbilia kule..

Benitez could have been smart to handle the issue wisely..

By the way British media walisema alikua anamkimbia Barry Hahaha eti Barry was much better than him lol Waingereza hua hawaishi vituko..
hahaaaaa barry nadhan hakuridhishwa na jinsi sakata lake liver walivyolihandle...... Parry alikua haeleweki kabisa yule mzee!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu, mtu ambae anakua majeruhi mda mwingi unamwitaje flop?........


nilidhan flop ni mtu ambaye anapewa nafasi ila hana matokeo chanya?..... hivi tunaweza kusema nathan clyle ni flop?.........


shida kubwa ya waingereza, mchezaji asie mzawa wako fasta kum-brand flop wkt takataka zao wanazisafisha sana!.......


hendo amekuepo liver zaid ya misimu 6, hakuna na matunda huko nyuma ila hawajawahi kumwita flop (well, kwa sasa anacheza vizuri)...... waingereza wanafiki sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kageuza gia angani eti kaleta heshima mbona asi elete kipindi cha Lambat kwa team inayo pangwa msimu huu yeye ndo anamapungufu mengi ukiondoa hizi mechi nne za karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msikie hapa kuhusu Everton tena

"When I’ve nothing better to do, I look down the league table to see how Everton are getting along."

"Sickness would not have kept me away from this one. If I’d been dead, I would have had them bring the casket to the ground, prop it up in the stands, and cut a hole in the lid. (After Liverpool beat Everton in the 1971 FA Cup semi-final)"

Hahahaha noma sanaaa huyu jamaaa

'I know this is a sad occasion, but I think that Dixie would be amazed to know that even in death he could draw a bigger crowd to Goodison than Everton on a Saturday afternoon.'

Bill Shankly Speaking at the funeral of Everton legend Dixie Dean.
 
Msikie hapa kuhusu Everton tena

"When I’ve nothing better to do, I look down the league table to see how Everton are getting along."

"Sickness would not have kept me away from this one. If I’d been dead, I would have had them bring the casket to the ground, prop it up in the stands, and cut a hole in the lid. (After Liverpool beat Everton in the 1971 FA Cup semi-final)"

Hahahaha noma sanaaa huyu jamaaa

Shankly bhana
'Chairman Mao has never seen a greater show of red strength.'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom