Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahahaha,huu uzi umekuwa wa moto sana siku hizi.
Mbwembwe kibao,mshindwe kunenepa tu.
Malizeni kwanza hii disemba mkiwa salama ndio muanze kutapika fujo zote,its not over yet King Ngwaba
 
Spot on!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mabeki wengi wa pembeni husifiwa kwa uwezo wao wa kupandisha mashambulizi.........


hio kukaba mpk kivuli zilikua tabia za kiitalia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu waliwapinga na kuwachukia mitume na manabii sasa hao wachezaji ni akinanani labda wasipingwe. Afuu usichokijua ni kwamba 85%ya washabiki wenye fahamu zilizotulia wa LFC wanajua kua hendo ni shit tu anapokua kwenye pitch
Nb:akifanya mazur twamsifu akizingua tunamsema maana anakiwango kikubwa cha shit kuliko mazur anayofanya
Ova
 
Hiyo 85% kwa research ipi?
 
Kila timu ishinde mechi zake hakuna namna...

YNWA
I conquer with you mkuu, kila mtu ashinde za kwake safari hii hakuna kubebana! Nakumbuka sana mwaka Jana tulivyowategemea Chealsick na Manure watusaidie kumsimamisha Manshit hapo kwa mechi moja tu, jamaa wakaachia! Safari hii huo msaada hatuutaki tena!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…