Fresh kabisa mkuu,naona ubingwa wa dunia unanukia hapa......Mzee wa Halisi, niaje!
Next kuna mbeki mmoja Wa kati kulia anaitwa Jerome Ongeune jamaa yupo vizuri Sana... Bila shaka anaweza kua upgrade ya Gomez, Matip na Lovren kwenye hilo eneo
Hahahaha buy OG kuchangia klabu yetu😂😂😂😂😂...Yaani nishatenga hela ya kuagiza jezi yenye ile badge ya world cup.
Nina uhakika mchina atakuwa fasta ku-duplicate, maana tar hizi OG ni ngumu.
Hahahaha buy OG kuchangia klabu yetu😂😂😂😂😂...
OG bei Kwa sasa zitakua hot cake Kwa vile ndio kwanza badge ya motooo ila zitapoa tu..
Hiyo mpaka June mzee baba, OG.
Huu msimu wa sikukuu ni ngumu.
Hilo mpaka sasa linaelekea kutimia na upo uwezekano Pep akatimka endapo ataikosa UCL na huu upepo Wa kusulisuli Wa Klopp usipozimika...Kweli kipato huleta majigambo,siku hizi Kops mnakelele kuliko man utd na chelshit wakati wakiwa kwenye kilele cha mafanikio.
Binafsi nawasapoti kwa maana moja kuwa pep asilibebe 3x mfululizo,hii ni EPL na sio serie A wala league 1.
Sahihi kabisa....Hilo mpaka sasa linaelekea kutimia na upo uwezekano Pep akatimka endapo ataikosa UCL na huu upepo Wa kusulisuli Wa Klopp usipozimika...
Pep hakuletwe City kushndania EPL mbali aliletwa awape UCL na kila kukicha wanazidi kupagawa hata fainali hawafiki..
Kuhusu majigambo mtusamehe maana Kwa muda mrefu Sana mmetuonea Sana angalau na sisi ni wakati wetu mtulie hivyo hivyo..
Kutesa Kwa zamu..
Kabisa ndugu Kwa sasa niku chill kombe kwanza jerzy baadae
Katika pita pita zangu leo youtube nikasema nikamuenzi SG8 kidogo japo niangalie viwembe vyake duh kwakweli inaweza pita karne mpk tumpate mtu kama yeye ktk squad
Sent using Jamii Forums mobile app
Pep hawezi kubeba UCL na City... hiyo team haina DNA ya hilo kombeHilo mpaka sasa linaelekea kutimia na upo uwezekano Pep akatimka endapo ataikosa UCL na huu upepo Wa kusulisuli Wa Klopp usipozimika...
Pep hakuletwe City kushndania EPL mbali aliletwa awape UCL na kila kukicha wanazidi kupagawa hata fainali hawafiki..
Kuhusu majigambo mtusamehe maana Kwa muda mrefu Sana mmetuonea Sana angalau na sisi ni wakati wetu mtulie hivyo hivyo..
Kutesa Kwa zamu..
Mkuu og wanauzaj hapa bongo kwetu? Nashida sana na ile kit nyeupeHahahaha buy OG kuchangia klabu yetu...
OG bei Kwa sasa zitakua hot cake Kwa vile ndio kwanza badge ya motooo ila zitapoa tu..
Aisee Kwa bongo sifa hamu duka wanakouza OG... Labda umwagiza Mkuu MosDef yupo UK au nitamcheki jamaa yangu ambae hua ananichukulia anijuze Kwa sasa ni bei gani... Je wataka yenye jina na namba ya mchezaji au plain bila..Mkuu og wanauzaj hapa bongo kwetu? Nashida sana na ile kit nyeupe
Sent using Jamii Forums mobile app