DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Wewe tulia huyo ni Lazar Markovic waKichinaSaa wapi!
Hata wakiungana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tulia huyo ni Lazar Markovic waKichinaSaa wapi!
Hata wakiungana?
Wataweza kweli?
Aaah wapi!
Kushindana nasi?
Aaah wapi!
Hata wakiungana? (Manchester na Arsenal)
Aaah wapi!
Qualified for the final. Adding more!Wee kaangalie kocha alikuwa nani! Usitupigie kelele..... Kloop ndo anafundisha liverpool na wako qatar
Sent using Jamii Forums mobile app
And all were a big hit...
Hahahaha Yanga aaaa sawa jomba...@Aaron mbona yupo mkuu!!!!
Tunashukuru kwa pongezi,uzuri wake ni washabiki wa timu tatu tu duniani ambao wamefuzu mtihani wa UVUMILIVU na SUBIRA....
ARSENAL
LIVERPOOL
YANGA
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hahahaaaaaaaaa
Hakuna aliyeandikiwa barua wala aliyefutwa nyumbani kwake aipende ......
Tumeipenda wenyewe
Wacha ituueeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ila kaeni vizuri maana tunakuja,next season nafikiri nitawakimbiza wengi hapa jukwaani,kwa fujo,tambo,na shangwe kama zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😂😊Hatawaki unganaaa wakienda Kwa sangomaa,,,,Kazi wanayo,,, Tittle ⚠Wataweza kweli?
Aaah wapi!
Kushindana nasi?
Aaah wapi!
Hata wakiungana? (Manchester na Arsenal)
Aaah wapi!
Nawaonea donge liverpool kila siku mnapata washabiki wapya.Hatawaki unganaaa wakienda Kwa sangomaa,,,,Kazi wanayo,,, Tittle
![]()
Nawaonea donge liverpool kila siku mnapata washabiki wapya.
Arsenal for life
#hatutoki_hatuhami
Sent using Jamii Forums mobile app