Hao ulowataja walipewa kwa majaribio mambo yakawa mazuri kwao kwetu inaonekana kama keshakua world class tayali khofu yangu atajaza Ndugu zake ambao hutegemea zadi jitihada kuliko uwezo.a ngekuja mapema basi ili awe nyuma ya Klopp kule alipo hakuaminiki kimpira Rogers alishakua mwalimu kabla ndomana anafanikiwa kuna yule Oneli alienda kule akapotea mazima
Sent using
Jamii Forums mobile app
Ni moja ya shida ya waingeleza, Ata Roy Hudgson alijaza maingereza na miwatu ya ajab ajab tim likawa bovu
Watu wanachanganya mapenzi na ukocha
Kuwa Kocha Club ndogo ukiwa na jina kubwa ni rahis kuheshimiwa na kuleta wachezaji wengi kutoka Club mama iliokuzoea
Ila kuwa kocha Ckub kubwa ni kitu kingine
Kama Amunike akiwa kocha mzuri simba haimaanishi atakuwa mzuri timu zote kubwa, kuwa kocha mzuri lazima uwe na vitu viwili vinavyoendana, Wachezaji wakuheshimu, na pia Tactics
Mourinho ana tactics ila sometimes heshima kwa wachezaji wake inakata, Zidane pia hivyohvyo
Ili wachezaji wakuheshim inabidi wakupende, Klop anavyo hivyo vyote, Gerard sijui
Ukishinda kombe lolote au kufuzu pia kuna either ya mambo mawili
-wengine ni wabovu
- wewe ni bora sana
Ko sometimes kuna mambo washabiki wanaweza kushabikia kwa mapenzi na sio ujuaji
Sikuzote huwa nasema binadam wengi ni watu wa matukio, wanangoja jambo litokee ndo washangae
Sent from my iPhone using JamiiForums