Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

mimi ni miongoni mwa anti hendo.
Ila kwa mechi tatu mfululizo jamaa ameongeza kitu hasa forward passes.
Tatizo consistency tu.

Ukiacha Mane na VVD hamna yyt anayemzidi Hendo kwa consistency
Watu wana m pick tu Hendo bila sababu yyt lkn nafurahi Klopp anawapuuza
 
Keita ni mzuri ila bado ana maeneo mengi ya kuyafanyia kazi kwa walioamuangalia vizuri mechi hizi mbili wataelewa. Kuna wakati anapoteza mipira maeneo ya hatari kitu ambacho kwa style ya uchezaji wa team yetu hakikubaliki. Huwezi kuona makosa ya style hii kwa fabinho na Henderson. pia kuna wakati team inashambuliwa unamuona anatembea uwanjani. Jana nimeshuhudia mara mbili, inaonyesha bado hajafikia fitness ya mapafu ya mbwa ya wachezaji wengine wa Liverpool. So far so good akijirekebisha hayo maeneo anaweza kuchukua namba.

Hapa ndiyo tulipofikia!

Tunatafuta weakness za mchezaji aliyecheza mechi 2, Kafunga magoli 2 katoa assist 1, MOTM games zote 2 na katoka na Clean sheet 2.
Yani tupo tayari kusifia mchezaji aliyecheza mechi 25 na kutoa assists 2 na kufunga goli 1 because tu eti kapiga pasi moja ndefu.
 
Hapa ndiyo tulipofikia!

Tunatafuta weakness za mchezaji aliyecheza mechi 2, Kafunga magoli 2 katoa assist 1, MOTM games zote 2 na katoka na Clean sheet 2.
Yani tupo tayari kusifia mchezaji aliyecheza mechi 25 na kutoa assists 2 na kufunga goli 1 because tu eti kapiga pasi moja ndefu.

Kweli kabisa mkuu,,keita sio wa kuongelew vibaya sasa
 
Sasa mahesabu yahamie kwa Watford
At least tuwapige 5 - 0

Line-Up ningependa iwe:

MANE - ORIGI - AOC

KEITA - GINI - HENDO

ROBBO - VVD - GOMEZ - TAA

ALISSON

Subs:
Adrian
Ki-Jana
Milner
Jones
Bobby
Salah
Xhaqiri

Hapo lazima Watford alale 5
 
Sasa mahesabu yahamie kwa Watford
At least tuwapige 5 - 0

Line-Up ningependa iwe:

MANE - ORIGI - AOC

KEITA - GINI - HENDO

ROBBO - VVD - GOMEZ - TAA


ALISSON

Subs:
Adrian
Ki-Jana
Milner
Jones
Bobby
Salah
Xhaqiri

Hapo lazima Watford alale 5
Hapana, 5-0 itakuwa kuwaonea. 3-1 tu inatosha na hatukuhitaji clean sheet!
 
Ndani ya Liverpool Keita ndiye Master of passes!

Fabinho hana cha kujifunza kwa Hendo..

Hendo kubahatika kupiga hiyo pasi basi usiongelee kama ndiyo kawaida Yake wakati inaweza mchukua mpaka akastaafu hatopiga tena.

Usifananishe Fabinho (Backbone ya Liverpool) na vitu vya kipumbavu.

Yani Dyson akajifunze kwa Hendo?? Are you serious?

Mpaka Klopp analialia juu ya injury ya Fabinho then unaleta habari za Chuma kijifunze uimara kwa barafu?
Dah jamaa katukosea heshima anamfananisha fabinho na hendo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndiyo tulipofikia!

Tunatafuta weakness za mchezaji aliyecheza mechi 2, Kafunga magoli 2 katoa assist 1, MOTM games zote 2 na katoka na Clean sheet 2.
Yani tupo tayari kusifia mchezaji aliyecheza mechi 25 na kutoa assists 2 na kufunga goli 1 because tu eti kapiga pasi moja ndefu.

Na kwenye game ya watford akipiga pasi nyingine ndefu ikazaa goli watasema apewe mkataba wa maisha
 
Sasa mahesabu yahamie kwa Watford
At least tuwapige 5 - 0

Line-Up ningependa iwe:

MANE - ORIGI - AOC

KEITA - GINI - HENDO

ROBBO - VVD - GOMEZ - TAA

ALISSON

Subs:
Adrian
Ki-Jana
Milner
Jones
Bobby
Salah
Xhaqiri

Hapo lazima Watford alale 5
Ki-jana karudi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom