Issakson makanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 850
- 1,358
Mchezaji hana hata record mmamae zake ule mzigo
Huyu yumo kwenye namba 30,000+🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈Henderson katajwa wangapi![]()
Numbers hizo hapo !Acha maneno Fanya vitendo, weka statistics zao.
Mana mnaongea tu maneno mnayosikia vijiweni.
Hapa hayumo kwani ?Henderson katajwa wangapi![]()
Adrian anahitaji training ya kutosha ili again confidence , adrian kacheza sana EPL na westham utd.. kwangu mm sio golikipa mbovu kiivyo kama tulivyomuona game iliopita dhidi ya brighton, alionekana mwenye makosa mengi sana kwa mda mfupi aliokuwa uwanjani simlaumu sana kwasababu hakupata hata mda wa kufanya warm-upMechi 3 zinazokuja kazi tunayo,, kama Adrian hatatulia haki ya nani twafa! Jana kuna moja ameitema almanusura aisukumizie wavuni! Najua mechi hizo pressure itakuwa juu sana kwetu mashabiki!
Mkuu wewe acha tu,, hapa pressure inapanda pressure inashuka! Vijana wakitulia tutashinda ingawa kwa mbinde!Adrian anahitaji training ya kutosha ili again confidence , adrian kacheza sana EPL na westham utd.. kwangu mm sio golikipa mbovu kiivyo kama tulivyomuona game iliopita dhidi ya brighton, alionekana mwenye makosa mengi sana kwa mda mfupi aliokuwa uwanjani simlaumu sana kwasababu hakupata hata mda wa kufanya warm-up
kinachoitajika ni confidence tu na kuchukulia game ya leo kama game nyengine za kawaida , asipokuwa makin game itakuwa na magoli mengi leo kwa pande zote mbili..
Alisson ataukosa mchezo wa leo then atarejea jumamosi dhidi ya bournemouth hii ni habari nzuri kwetu...
vipi unaionaje game ya leo,liverpool itashinda? je liverpool ita drop points dhidi ya everton dhaifu ?
Hoja zilizokufa. Messi anacheza peke take? Anadaka,anapiga Kona yeye. Anafunga yeye.Hivi unaongea tu bila fact ndo shida yako, unaleta maneno mnao ongea vijiweni. Messi sio forward tu, Messi ni best playmaker Europe, Best assist in Europe, UEFA top scorer, UEFA most MOT, eufa top scorer, la liga top scorer, La liga best player, la liga most MOT, that we call individual performance, sio unaleta siasa za Kwenye vijiwe vya Kwenye kahawa, kwani huyo Vvd alikua anazuia pekeake, Akina matip, Trent, Alison na Robertson hawakuwepo.
Let statistics tukuelewe .
JK. Please close the deal on this chap.if this is true, I hope Klopp seals this deal.
I love this kid - quite a considerable upgrade to any and all of our current AMs.
View attachment 1281847
Hii rotation au ndio nini? Shaq,Origi na Lalana!
Hii rotation au ndio nini? Shaq,Origi na Lalana!
Klopp Mungu anakuona.
Hii rotation au ndio nini? Shaq,Origi na Lalana!
Klopp Mungu anakuona.