Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ox ni nan
 
Jamaa waliona hawawezekaniki ikabidi memo itembee zikatolewa kadi nyekundu kama maji na penati juu,ndio wanapumua ila walishafanyiwa kitu mbaya hapohapo uwani kwao.
Hahahaha na tena Ajax wamefanya hayo bila mashabiki Kwa vile mashabiki wao hawakuruhusiwa kuhudhuria mechi ya Leo..

Noma sanaaa nyumbani kukomaliwa vilee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…