Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I conquer 110%...
 
Kuna Wafuata upepo humu wameona Makala Echo zinazopropagate kuwa Mido za OX na Keita zinasababisha tufungwe goli kiurahisi basi na wao wamekuja humu na Vipost uchwara Kuwa Mido hizi zisicheze tena eti zinaruhusu kufungwa.
Kwanza tumefungwo moja tukiwa ugenini huku hata mabeki waliocheza upande wa kulia Milner na Lovren wakiwa ni chaguo la 3 Kwa kocha...

Bring us TAA, Matip or Gomez
 
Wee

Usinambie [emoji28][emoji23][emoji23]
 
Rodgers mwenyewe haitaji magarasa
 
hawa leicester sio wa kuwachukulia poa wanaweza kufanya walivyofanya msimu wa kwanza walivyopanda daraja inaonekana foward yao inauchu sana na magoli
 
King Ngwaba kaanza kulegea kwa Hendo, hahahaha, dah, si Bora mara elfu abaki Lalana [emoji3], umehongwa na Le Captain Hendo wewe si bure.
 
Milner kiraka kile. Achana nacho kabisa

Kuna Mambo usiangalie Kiraka tu bali angalia na disadvantage zao wawapo kwenye Timu.

Milner ni 34years. Sasa japo ni kiraka lakini uwepo wake unafanya nafasi kuwa Limited kwa baadhi ya Wachezaji! Kwa mfano Grujic 23years ni Mchezaji mzuri lakini anaishia kucheza Ujerumani kwa Mkopo kwa sababu ya Milner na Lallana kuwepo kwenye Timu.

Kwahiyo Milner akiendelea kuepo basi Grujic atadai kuuzwa kwani hatoweza kutoboa ndani ya Liverpool.

Kwahiyo Milner ni Kiraka but kwa Maslahi ya Timu itabidi aondoke ili kupisha nafasi kwa wengine.
 
Mla pilipili ndio mizinguo mkuu,team selection zinamshinda ukichanganya na mabifu ya wachezaji ndio kabisaaaaa....wachezaji wapo wazuri sana ila timu hakuna.....
 
Kwa maslahi ya timu abaki. Hakuna kumpisha timu, team ni kubwa kuliko mchezaji yeyote yule. In the mean time tunamhitaji Milner zaidi kuliko Grujic.
 
Mla pilipili ndio mizinguo mkuu,team selection zinamshinda ukichanganya na mabifu ya wachezaji ndio kabisaaaaa....wachezaji wapo wazuri sana ila timu hakuna.....
Duh sawa Mkuu huyu mpine angalau misimu mitatu kabla ya kujua kama muachane nae
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…