Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Utaifaa unammbeba
 
Echo ni wakala Wa ma Brexit wanajua hii mido ya jana ikiachwa wanakosa mjadala tena Kwa kuwa wao ni Hendo Hendo Mr useless boy...

Clean sheet is Lovren baby na si mwingine...
 

Tumeshinda 4-1 LKN tumewaruhusu sana wapinzani kumfikia kipa,Samatta katukosa sana na huwezi ruhusu kama zile nafasi kwa Kane ukawa salama!
Mido ya Keita,Fabihno na OX tunakuwa exposed sana sababu wote wana weza tu kulinda mpira lkn sio ukabaji
Sidhani kama tutaiona tena,lzm Wilj au Milner achanganywe pale
In Klopp,we trust

Jumapili big game na Spurs,Mungu usituache!
 
Hendo atacheza Jumapili
Hii combo ya jana hapana,katikati tunakuwa wazuri tukiwa na mpira tu!
Dakika ya 6,8,22,39,58,87 zote tumefungwa au tumekoswa mno na Samatta!
Hendo in mmoja wao anapumzika Jumapili
Huwezi ruhusu nafasi kama zile za Samatta kwa Kane ukawa salama
 
Ni kweli kama tulivyowadhibiti man u mpaka dakika ya 70 pale OT, maana bila hendo ndani lazima tupigwe tu. Mkuu hii mido bila hendo haiwezi kutembea kwani yeye ndo stabilizer wa timu pale kati.
LIVERPOOL BILA HENDERSON HAKUNA KITU.
NANI HAYAOGOPI MAJOGOO
NANI ANABISHA HENDO NI HATARII?
 
Ya Hendo ilitupa clean sheets ngapi msimu huu?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mbombo ngafu.
 
Hahaha nilikutana na mtu ana mwandiko kama wa malafyale liverpool nilicheka sana aisee... Hiyo jukwaa lina radha hadimu sana
 
Dah kaka unatisha! Huu ni zaidi ya uchambuzi unatakiwa upate tuzo ya mwaka,pia unatakiwa ukapime macho.
 

Hao Echo ni kwamba wanatafuta pa kuchomokea ili wampatie nafasi Hendo ya kurudi kikosini
 
Kweli mpira ni mpana jama. Kumbe kuna wachezaji wanapewaga roles za STABILISING. Kumbe mbali na kukaba, kupandisha na kutengeneza nafasi kuna KUSTABILIZE. [emoji23][emoji23]

Kwenye Somo la Physics unaposoma Electronics kuna Diodes au Capacitor (Nimeshasahau) inakuwa ni Temperature Stabilzer! Nadhani ndio huyu Henderson
 

Hendo ni muhimu sana mkuu,nashangaa Klopp anampanga alafu mtu kutoka kongowe anasema jamaa hajui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au wewe unalionaje hili????

Hendo anastablelize timu....[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
 

Sikukataa kuwa wengine ni middle bora, ila jua tu klop ana mipango yake, na middle ya jana ya attacking minded midfielders ni rahis sana wapinzan kupata goal
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…