Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii comment ndo tofaut ya passionate na reason
Ukiendelea kufikiri hivi utajiumiza sana na stats zako mkuu
Utaona kama nakuponda ila jarb kuangalia mpira kwa jicho la tatu na si stats

Kwanza kabisa Mimi sijui Mpira unaangaliwaje kwa Jicho la 3 na wala sina mpango wa kuangalia Mchezaji kwa Jicho la 3. Only Chief-Mkwawa ndiyo anayeangalia Mpira kwa Jicho la 3.

Sasa kama unaona Stats sio Kureasoning! Basi endelea kumuangalia Hendo kwa Jicho la 3.

But unakataa Stats za Hendo kwasababu you know exactly linapokuja suala la Stats he is nothing inside the pitch that's why unajaribu kumpamba kwa Maneno matupu na Mazuri.

Anacho-offer ni only pointing a finger to his teammates warudishe Mpira Nyuma pamoja na kufokea Marefa.
 

Kama ulikuwa hujui ni kwamba 4-3-3 tunayocheza hainaga attacking midfielder
 
Kama ulikuwa hujui ni kwamba 4-3-3 tunayocheza hainaga attacking midfielder

Hao 3 Midfielders hawachezai kama Tunavyowaandika

Fabinho Huwa Nyuma ya Wote (GINI & HENDO)

GINI anacheza Center kutokea Kushoto.

Hendo anakuwa Mbele ya Wote (GINI & FABINHO) akitokea kulia ambaye anakuwa more offensive but anashindwa kudeliver chochote kwasababu sio creative.

What's your point kusema hatuna attacking Midfielder?

Ukisema hatuna attacking Midfielder manayake hatuna Link kutoka Kwenye Defenders na Washambuliaji! That means tunaplaye Bus-Parking football right?
 
Kama ulikuwa hujui ni kwamba 4-3-3 tunayocheza hainaga attacking midfielder

Na jengine ni kwamba Henderson amedizainiwa Kuwa Box2Box midfielder but fail to adapt and produce nothing good! So, failure ya Henderson isikufanye ukajudge Kuwa we are not playing with attacking Midfielder.

Remember Coutinho wakati Klopp alikuwa Kazama kwenye 4-3-3 na gengenpressing nadhani ulikuwa ukimuona C10 alivyokuwa real attacking Midfielder na kila game alikuwa either anatoka na Goli au Assist.

Lakini leo unaniambia 4-3-3 haina attacking Midfielder??? Labda hiyo formation iwe ni ya Zahera.
 
Ahahah eti namponda Henderson kwa kuwa wengne wanamponda dah aiseeee
 
Mm nazidi kuchukua elimu tu hapa , mambo ya DM , CM ,box to box
 
Next game against Manure

Ni headache tu

Manure hata wawe wabovu vipi wakikutana na Liverpool hugeuka Mbogo aliyejeruhiwa

Kuna waliokwishajiwekea Matokeo yao Mfukoni lakini kwamimi nasema bado kazi tunayo Manure hatokubali kupoteza game kwa Liverpool kwa gharama yoyote ile.
 
[emoji413] 16 Years Ago Today:

[emoji837] Steven Gerrard was named lfc captain.

[emoji909] 710 Games
[emoji460] 186 Goals
[emoji457] 115 Assists

[emoji471][emoji471][emoji471] League Cup
[emoji471][emoji471] FA Cup
[emoji471][emoji471] Community Shield
[emoji471][emoji471] UEFA Super Cup
[emoji471] UEFA Cup
[emoji471] Champions League

[emoji146] Anfield Legend.
 
Manure watafungwa tu hata kwa kubakwa
 
Mi namuelewa hendo hata kama hana statxs nzuri...

Napenda watu wanaojituma, lakn kuna watu wana statxs kuriko hendo kama akina pogba lakn upgaj kazi wa hendo ni mkubwa sana maana hana cha ku offer kngne..

Liver tuko vzur kwasababu ya watu kama hawa.. milner, hendo, mane, anord, matip, gini, na wengne typ hii wanajituma kama timu ya baba yao.

Game ya barca pale anfield rudien tena... hendo alkuwa kama ng'ombe aliepata kichaa japo wengne ndio wanaonekana walisadia sana
 
Nyie kenge mjiandae kisaikolojia mnakufa ot naapa mkijitahd sana draw licha ya man u kutokuwa vizuri ila amini kwamba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…