Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
mechi yetu na united inaweza kuwa ngumu cause ya team selection inayopenda kufanywa na klop kwa mfn utashangaa kumpiga benchi trent pia unakuta kaanza na kiungo cha milner,hendo na gini na kama klop atastick na timu selection nzuri tutapata ushnd mapema na mkubwa af kingine nimesikia Allison anarud game ya united mm kiukweli nisingependa hyo game acheze Allison kwan amekaa nje miez miwili so anatakiwa arud taratibu
cjatumia kigezo chochote but Adrian katupia ushnd wa asilimia 100 so inabd Allison arud taratibu tena sio game kubwa ya unitedUmetumia vigezo gani mpaka kusema usingependa alison apangwe kwa sababu ya kukaa nje miezi miwili?
Huyu jamaa sio mzur kihivyo lakin piá sio mbaya kama mnavyomsema.... Angekuwa mbaya kiasi hicho hapo Liverpool angepasikia tu kwa sababu hata namba asingepata...... Sema jamaa Ana nyota ya kunguni kweli kweli For yearz now watu wanapiga kelele yy bado anadunda na ucaptain wake
Jordan Henderson
alisajiliwa sambamba na Andy Carrol, Charlie Adam, Stewart Downing, Jose Enrique sasa kwa nini wengine wote walifurushwa na yeye bado yupo?
Joe Allen alifika na Brendan Rodgers na Klopp alimuondoa mapema sana, ukiangalia sasa wachezaji ambao wanaweza kuondoka ni Lallana, Lovren lakini JORDAN HENDERSON hakuna dalili afu ndiye kapteni wetu
Henderson ana kitu gani kiasi anakubalika hivyo kuanzia KD, BR na JK?
Acha kuponda man, Jini ni moja ya mido bora wa Liverpool, we ni aina ya watu unaeongea passionately kuliko ujuzi, bora Mosfed anajua anachoongea
Wakati Roy Kean anasema hayo ,man u wanajiandaa kupeleka £70m kumng'oa hapo westham
Manchester United could spend upwards of £70m to sign West Ham United's England midfielder Declan Rice.
bbcfootball
The Henderson guy is very poor. He is a disgrace to my Liverpool. A number 8 that is non productive. Bure kabisa. Whenever I see him in the line up I badly feel sick.
Umetumia vigezo gani mpaka kusema usingependa alison apangwe kwa sababu ya kukaa nje miezi miwili?
Achana nae huyo atakuwa ameingia JF leo baada ya siku nyingiAcha unafiki mimi sijawahi Kuzungumzia Jini katika post zangu
King Ngwaba yupo sahihi mkuu umemshambulia lakini alichokisema King Ukweli mtupu kama sio ukweli mkubwa kabisa
Namba anayocheza Gini pale Liverpool ndio hiyo anayocheza Gundogan ambae kama sio umri mkubwa wa Silva pale City Gundogan alikuwa hana hadhi ya kumuweka bench Silva sasa mtu alete stats za Gundogan na Gini halafu tuone kama sio Gundogan yupo level za mbali sana kumshinda Gini
HahahahahahahahahHii Liverpool haikatizi December, itakuwa ipo nafasi ya tatu kugombania na spurs uko au arsenal..
Kwa hiyo wewe Henderson unamuona bonge la mchezajiSi busara kulinganisha watu wawili wanaocheza aina tofaut za mpira
Pili wote naona ni walewale tu
Tatu, watanzania wengi wanaendeshwa na passionate na sio akili, hii humfanya mtu aamini mtu anaeona anaifurahisha moyo wake, ndo maana kuna makundi na kila kundi lina mtu aliesifiwa sana na wanakundi hilo, huwez mtoa muhuni sugu anaependwa na wahuni kutokana na kuwazidi uhuni wenzake katika kundi la wanadini na asifiwe vilevile kwa wanadini, na hivyohvyo viceversa
Ko haimaanishi mtu anachoongea yuko sahihi au lah, ila katika kundi hili ukigundua mtu kakushinda mapenzi na timu utamuamini sana maanda ndo jinsi binadam walivyokuwa programmed,
Najua anauchungu na timu ila hiyo haimaanishi anachokiongea ni sahihi
Najua wewe n liverpool pureHii Liverpool haikatizi December, itakuwa ipo nafasi ya tatu kugombania na spurs uko au arsenal..