Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Umekubal co??
 
Hivi katika timu ya kuogopa na man u ni timu kwel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Liverpool mnaweweseka bure, kama klop ana akili, liverpool ikitaka kucheza na man u, naomba muweka kikosi b, wale madogo waliocheza calabao unless otherwise mnaenda kupiga wale mashetan gori 10
 
Jokes/banter aside.


You need to do a simple research, kuhusu LFC Vs UTD fixtures.

inaonekana, kuna vitu vingi sana huvijui kuhusu hii fixture.
 
Unazungumzia man u au man city , hebu dadavua vzr
 
Naisubiri hiyo mech , Tumeshindwa kuwafunga sababu ya ujinga wa kocha

Nawaombea Liverpool wakaibamize man u goli hata 6,

Ujue acha man u ashuke hata daraja, ni timu ambayo ilinufaika sana na kubebwa sana na marefa ,

Liverpool wanaenda kumfukuzisha mtu kazi tena
 
Unazungumzia man u au man city , hebu dadavua vzr
Man city inawachezaji wazuri tatizo ni moja tu, hawana uchungu na timu kabisa, angalia game za city nyingi wanacheza kwa kurelax sana, wakikutana na liverpool hawaponi,

Liverpool n timu ambayo ukiaachana na kulipwa pesa, wanauchungu na timu, hasa ukiangalia wanavojituma, wanajitutumua sana mpaka unaona kabisa yess,

Angalia game ya sulzbag uefa, walivowasha moto pind wabapogundua wamefungwa, city wanakataa tamaa mapema na wanapanik
 
Man, lets talk about VVD.

My main man amekuwa hovyo recently.

these Ballon d'or issues really getting to his head. he need to sort it out, ASAP.
Yah man...but the main man is just getting a couple of bad days in the office...it happened even the days of Nesta,Maldin,Stam,Rio...He is OK.He is the real deal...the character,a leader,a fighter...cant ask for more from him..Those kind of things happen to reminds those who want to forget that he is a human being...not a robot...
 
Still people not watching football do not notice the man...the classic tackles,the magic turnings with the ball,forward passes...still difficult to be noticed by the eyes waiting for a goal and praise the scorer..the amazing silent moments are just quite...only ball watchers can catch and admirer
 
Haaha...I like that piece..Gini scoring away goals..but you know what man...still don rate the guy honestly
 
Liverpool kabla ya Kuchekelea sana kumbukeni huu ni mwezi wa 10 ....

Mbichi na mbivu zitajulikana mwakani , angalau ingekuwa mwezi wa 4 hivi mngepaswa kushangilia kama mnavyofanya sasa, vinginevyo mtambue hii ni marathon
Exactly
 
Hiki kicheko dhahiri ungekiweka kule upande wa mashetani ungepigwa mawe....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…