Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimebana mpka mwisho lakini wapi ...hii Liverpool, ningekuwa na Bomu ningelipua pale Anfield aise ...

Hongereni bana ...

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
Shukran kesho naona unakibarua na soton . ntatia kambi huko
 
Unamzungumziaje Salah leo?

Kosa si La Salah, Kosa ni la Klopp aliyekuwa hasajili.

Kwenye Bench kwa Mshambuliaji kuna Origi pekee sasa Salah hata acheze utumbo utumbo vipi itamlazimu aanze tu wakati hakuna upgrade yake coz Shaqiri na Origi huwezi kuniambia Kuwa ndiyo upgrade wa Salah.

Whatever the situation is Salah, Bobby na Mane ni lazima waanze mpaka pale tutakapo pata mbadala wao.
 
Kufanyiwa kazi ni salah kuekwa benchi tu hamna namna nyingine huyu mtu sasa ivi Amekuwa ni mbahatishaji tu

Mimi sikatai Kuwa Salah ameshuka kiwango! Lakini Je akiekwa benchi acheze nani ambaye ataleta kitu zaidi ya anacholeta yeye?

Hivi tunakikosi kipana cha kuweza kueka benchi Wachezaji wa Kikosi cha kwanza?

Kwahiyo sio kusema tu Salah aekwe benchi! Bali la msingi ni Kuwa na yule mchezaji wa kumreplace
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…