Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi sijaangalia Mpira lakini mbona Ratings na comments za Wadau kwenye Platforms mbalimbali zinatofautiana na uliyoyaandika kuhusu Jones?
Wamemsifu sana kuwa ana kipaji
Huyo jamaa sijui ana macho gani yeye huyo brewaster hamna kitu kabisaa alikua na zurula tu na shabiki wengi wameonyesha kukata tamaa juu yake
 
Nasikia Tuhuma tuzo za FIFA ni kweli au uzushi tu?

Chama cha Soka cha Egypt kimepeleka Malalamiko yao FIFA kutaka Maelezo kwanini Wawakilishi wao Watatu ambao Wote Katika kura 3 kila mmoja (Jumla 9) walizowapigia kati ya Mo Salah, Mane + Mwengine kura zao walizopiga hazikuonekana kwenye Hesabu.

Yani hazikuhesabiwa bila ya sababu yeyote.
 
Kabla ya kuumia jamaa alikua vizuri na alikua tegemezi kumbuka alicheza nafasi ya Sturrege
 
Nasikia logarusic naye kasema alimpigia Salah anashangaa kura yake iko kwa messi
 
Kwa haina ya mpira wa madogo jana..liverpool tunatakiwa kuwekeza zaidi kama tunataka kuwa na future na muendelezo mzuri,hatuna madogo wanaocheza mpira wa kipaji wote wanacheza mpira wa kufundishwa hakuna natural tarents...!
mchukueni singano
 
Huyo jamaa sijui ana macho gani yeye huyo brewaster hamna kitu kabisaa alikua na zurula tu na shabiki wengi wameonyesha kukata tamaa juu yake

Rhian huwezi kumjaji kwa mechi tu ambayo imecheza Team A jana, aedelee kupata dakika ndio angalau tuone kama ni asemavyo Klopp.....

Anahitaji apewe service ya kutosha pale mbele..muda utasema
 
Fifa wanasema jamaa walisaini kwa herufi kubwa na hairuhusiwali bla bla...pia Sudan nao kura zao ziliharibika..wote ambao wanahisi hawajatendewa fair Fifa wamesema waandike barua..
 
Hv ww origi unamjua au????? emb katafute mech alizoanza origi na idadi ya magol aliyofunga halafu urud hapa


Football without origi is nothing
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…