Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
FT
Angalau
Angalau
God is Great!FT
Angalau
arise and shine daraja limetobolewa...Dah! Yani leo nimekuwa mnyonge
Huyu Klopp nadhani ana mpango wa kuniua kwa presha kwa sub zake... DahI cant explain my happiness licha ya sub kichaa za klopp
Shkurani ndugu, tumekomaa mwanzo mwisho....Hongeren Kopities
Kwakunipigia Ollachuga na genge lake
Mkuu maombi yako yamejibiwa...Kwa jila la Muumba mbingu na nchi, tunajua kuwa wewe ni uwezo na unaweza. Tunakuomba baba uende kuweka umoja kwenye timu yetu tunapokwenda kupigania point tatu leo, baba ukaondoe tofauti za forward line yetu, uweke umoja na kuondoa utengano na tamaa kati yao.Kaweke macho kwenye miguu yao baba ili mashoot yalenge goal.
Baba tunaomba na kukushukuru.
AMEN
haha wamekusikiaMy Condolences In Advance To Chealsea Family
Hatuna kocha , Auba ndio anaibeba team , Ni swala la Muda kabla hajarudi kwao SpainHivi aseno wanakwama wapi?
kasaro ya GomezI cant explain my happiness licha ya sub kichaa za klopp
Alicho fanya ni kujaribu mana tulishapotezwa mda leo bahati imetubebaHuyu Klopp nadhani ana mpango wa kuniua kwa presha kwa sub zake... Dah
Huu msimu naona clean sheet imekuwa ndoto kwetu...
Hatuna kocha , Auba ndio anaibeba team , Ni swala la Muda kabla hajarudi kwao Spain
kabisa ndugu ni kujipanga tu...Ongera liva kwa ushindi
Najipanga gemu ijayo inshala