Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ilianza kwa Bobby Duncan, Sasahivi ni kwa Ryan Kent kulalamika.

Kwanini madogo sasahivi wanatulalamikia? Kuna kitu gani behind the scene tunachowafanyia hawa Madogo?
Mkuu namba kupata ngumu sahivi hata carabao cup hawawezi kupangwa..huyo Duncan mwache atafute challenge kwengine ...japo ryan Kent ana kipaji ila sio dogo anahitaji kukipiga zaidi....Yuko na Gerrard sio mbaya....yaani aachwe kuanza Origi awekwe Duncan ,ye alalamike na H.Wilson je!?...mbona glatzel kaongeza mkataba.
 
Ilianza kwa Bobby Duncan, Sasahivi ni kwa Ryan Kent kulalamika.

Kwanini madogo sasahivi wanatulalamikia? Kuna kitu gani behind the scene tunachowafanyia hawa Madogo?
wanavyokua wanasaini mikataba wanapewa na ahadi pia watacheza kikosi cha kwanza...lakini pia ushauri kutoka kwa mawakala na watu wa karibu nalo ni janga kwa hawa makinda

kwa ushindani uliopo wanaishia kucheza kikosi cha kwanza pre season tu na sio EPL matokea yake zinatokea timu zinawahitaji na huku bado tunawakomolia wasaini long term contract ili wasiodoke na wenyewe hawataki kucheza under23 tena mbali wanataka wawe kikosi cha kwanza na Klopp hapo anakua hana namna zaidi ya kuwaachia wasepe zao...

tazama walivyoodoka Camacho, Suso, Ryn, Duncan nk
 
Yan muogope sana mtu mwenye uwezo binafsi-kipaji alafu anatumia miguu yote miwili...japo ni kiungo lakini anauwezo wa kufunga Sana siku izi gari limewaka...nasubiri siku akipigwa 9 ya uongo kama boby...
Lallana hawezi kuingia kwa mfumo sahivi ...Hendo ana umuhimu wake yule ni wa kufuata maelekezo uzuri yuko sharp na pasi za movement pale kati hana mambo mengi ..ana back up nzuri..fabinho/keita/gini/chambo acha zali liendelee kumtembelea ...maana bila kupambana zaidi asingeweza pata zali leo..
 
Baada ya kutembelea Nyuzi tofauti za Soccer hapa JF siku hizi kuna Washabiki wa aina Mbili:

1) Wale wanaomani uwezo wa Mchezaji anapokuwa na Mpira Mguuni na kuweza Ku-offer kinachopelekea positive results. (Mimi ni mmoja wapo)

2) Wale wanaoamini ubora wa Mchezaji asipokuwa na Mpira uwanjani ni muhimu zaidi akiwa anazurura huku na kule bila ya Mpira kwa reason ya kuwa anacover empty places.
 
teh teh
jesse lingard anawekwa kundi la pili na fans wa man utd.
 
Mkuu kumbe unatembelea 90min.com ?

Yani hako kakijiwe kinapost Pumba tupu ili kuvutia Viewers wengi

Na kibaya zaidi wanaweka bonge la Headline lakini ukifungua ndaniyake kilichomo ndani ni tofauti na Headline.
[emoji106] Nilipitia juu kwa juu tu Mkuu..
 
teh teh
jesse lingard anawekwa kundi la pili na fans wa man utd.

Na Huku Nyumbani kwenye huu uzi kuna baadhi ya Mashabiki wenzetu wanatuambia Henderson ni bonge la Mchezaji akiwa hana Mpira!

Nadhani kuna umuhimu wa Timu zetu kuajiri Makocha ambao watakuwa ni Specialist off Ball Coach ili kuscout na kusajili Wazururaji tu ambao watawatrain kutokugusa Mpira kwa dakika zote 90 ili wawe wanazurura tu.
 
Waliishia wapi msimu uliopita? Maana mlisema hayo hayo mnayosema sasa hivi,maneno yenu tunayakumbuka.
Mimi ni mwana Liverpool kama wewe. Naples wako vizuri sana. Msimu uliopota kundi letu lilikua gumu. Kama utakumbuka Naples walitusumbua sana.
 
Klopp on Alisson and Keita:

[emoji860]On Alisson: "Ali looks good & is improving, but we can't put pressure on him. The target was after the next international break, but we don't know.”

[emoji860]On Keita: “Naby is close. I think he could be in training when we come back from Napoli."
 

Kwa injuries hizi za kila siku! Karibu nita declare kuwa kwa Keita tumepigwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…