Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
MANEEEEEEEEEEEE
️ TAA
️ Manekesho Mkuu Aroon nakutakia ushindi...Leo ndio naingia humu,
Makocha wanajua kutuchezea akili
Bobby clicking...damn whats a colossal pass...Hii game tushaimaliza, maana nina uhakika Salah naye ataingia wavuni.
Bobby leo yupo vizuri sana. Kwa kifupi tumecheza vizuri
Leo ndio naingia humu,
Makocha wanajua kutuchezea akili
Sean Dyche the Burnley gaffer also love this team..our very own boyhood fan of this great Reds army...I love this team
YNWA
KUNA SHIDA KWENYE YOUTH DEVELOPMENT, SIJUI WANAWAKUSANYA WA NINI? KWA NINI HAJIFUNZI KWA WENZIE?Mkuu umesema Makinda ili wapewe nafasi ni lazima nafasi hiyo iwe tupu!
Huo ni ukweli na ndicho kitu kilichomfaidisha Trent.
Tulikuwa na Beki 2 mmoja tu Clyne ambaye aliumia na nafasi ikawa tupu, Hapo ndiyo walipoibuliwa Trent na Gomez kuziba hiyo nafasi.
Na mpaka leo hii nafasi hiyo ina Trent peke yake hana msaidizi.
Kuna na nafasi ya Beki 3 akiumia Robertson itabaki wazi, kwahiyo yule dogo Yasser Larouche huenda kapata bahati kama ya Trent kuziba hiyo nafasi.
Bwnginevyo sioni nafasi ya dogo yeyote kutoboa Liverpool.
Hao kina Brewster, Ki-jana, Van Den Berg, Dancun and co wote wataishia kutukimbia.
Natumai umepona homa mkuuLeo ndio naingia humu,
Makocha wanajua kutuchezea akili
Tunasubiri sub za Klopp, pressure ndio inapoanzaga kupanda.