Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,974
- 13,612
HT liverpool 0-1 Chelsea.
Tumecheza hovyo japo tumetengeneza nafasi chache na tumeshindwa kuzitumia. Kante, Jorginho na Kovacic wamewazidi uwezo Fabby,Milner na captain Edo.
Backline yetu, imefanya makosa mengi. Kama forward line ya chelsea wangekuwa makini wangeshatuadhibu. Sijaona chochote alichafanya ox zaidi ya kuwa mzigo pale mbele.
Ni muda wa kumpumzisha Edo na mills na nafasi zao achukue Ginni na Keita. Ox arudi bench Bobby aje kumaliza hii show. Pia kama kutakuwa na sub ingine Gomez naye apumzishwe na TAA ichukue nafasi yake.
Chelsea wamecheza mpira mkubwa na wenye kuburudisha.
Tumecheza hovyo japo tumetengeneza nafasi chache na tumeshindwa kuzitumia. Kante, Jorginho na Kovacic wamewazidi uwezo Fabby,Milner na captain Edo.
Backline yetu, imefanya makosa mengi. Kama forward line ya chelsea wangekuwa makini wangeshatuadhibu. Sijaona chochote alichafanya ox zaidi ya kuwa mzigo pale mbele.
Ni muda wa kumpumzisha Edo na mills na nafasi zao achukue Ginni na Keita. Ox arudi bench Bobby aje kumaliza hii show. Pia kama kutakuwa na sub ingine Gomez naye apumzishwe na TAA ichukue nafasi yake.
Chelsea wamecheza mpira mkubwa na wenye kuburudisha.