Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wakati Klopp akimbembeleza Coutinho abakie Liverpool huku akimhakikishia kuwa atakuwa Legend na kujengewa Statue ndani ya Liverpool! Alikazania kuondoka na kusema Ndoto zake ni kucheza Barcelona ili akawe Legend Kule... Hatimae ameshanunuliwa Griezman jambo ambalo litamueka Njia panda.

Sasa either awe Benchwarmer or find his way out.
 
COUTINHO: For me it h as always been a dream to play for Barcelona .hahahahahahahahah

Griezmen amemkalia maji ya Shingo! 😀😀😀

Front 3 Griez na Messi lazima kuanza...
Kuna Suarez kuanza ni ≥70%

Sasa wamebakia yeye na Dembele wakati Dembele yupo ahead of him

Nafikiri sasahivi atasema "For me it has always been a dream to leave Barcelona"
 
Leo katika kuperuzi peruzi tovuti ya Liverpool nimekutana na kikosi hiki.Kuna wachezaji katika kikosi hiki walikuwa wazuri sana lakini sasa kama vile wamesahaulika,kuna Steve Finnan,Djimi Traore,na Harry Kewell pamoja na Sanz Luis Garcia.
liverpoolteamvsacmilan2005640x400.jpeg
 
Harry Wilson bonge la mchezaji we need him first team, tunaweza kabisa tukam'incorporate ' central midfield ya 4-3-3

Yasser Larouci nae jembe sana, good as a substitute for Left and Right back options

Curtis Jones tumuease taratibu kwenye midfield , the lad is so creative

Ki-jana anaweza kabisa kuwa anaanza alongside VVD, highly talented lad


Defensive midfielder tunao wawili tu Fabinho na Milner, Hendo at a Defensive midfield such a crap!
 
We need strong and quality squad depth this term aisee! Tusije baadaye kuwasingizia city oooh wana kikosi kipana ndo maana hawapati taabu michuano yote, isije kuwa kama last season kujipongeza kutolewa micky mouse cups eti ili tukomae na ligi napo tukapigwa chini kiboya boya
 
'We cannot spend £300m every year like Man City & PSG'

Jurgen Klopp has warned Liverpool fans not to expect any blockbuster signings in the current transfer window, contrasting his team's investments with the spendthrift duo of Manchester City and Paris Saint-Germain.
 
Barcelona have made a £90m offer plus two players for Paris Saint-Germain forward Neymar, according to Sky in Germany.
The La Liga club have given PSG a list of six players that could be included in the deal, including Philippe Coutinho, Ousmane Dembele, Ivan Rakitic, Nelson Semedo, and Malcom.
 
Barcelona have made a £90m offer plus two players for Paris Saint-Germain forward Neymar, according to Sky in Germany.
The La Liga club have given PSG a list of six players that could be included in the deal, including Philippe Coutinho, Ousmane Dembele, Ivan Rakitic, Nelson Semedo, and Malcom.
PSG wanasuburi nini sasa take the cash £90 ml and the two players Coutinho + Dembele it's a better deal.
 
Kwa maoni yangu Ubingwa wa EPL bado uko mikononi mwa Guardiola

KLOPP anaweza kumaliza mkataba wake bila EPL

EPL rahisi ilikuwa hiyo ya mwaka huu ambapo kijinga kijinga tulilose 7 points lead and we ended bottling it
beg to differ here, kiongozi. I don't think we bottled it. ManCity have simply been exceptionally good these last couple of seasons - we only need to better them this coming season through shrewd recruitment.

look at the previous EPL stats... in any other season prior to 2018, we would have been EPL champs no question about it.

let's get a Christian Eriksen and a Ryan Sessegno .... tell you what? we'll be champs by March 2020!

 
Eriksen? Tot wakituuzia huyo jamaa nahamia kwao haki tena.
beg to differ here, kiongozi. I don't think we bottled it. ManCity have simply been exceptionally good these last couple of seasons - we only need to better them this coming season through shrewd recruitment.

look at the previous EPL stats... in any other season prior to 2018, we would have been EPL champs no question about it.

let's get a Christian Eriksen and a Ryan Sessegno .... tell you what? we'll be champs by March 2020!

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom