OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,313
Nadhani umenielewa sasa. Origi anafaa kucheza Arsenal uko, kumpa mkataba ni kosa kubwa sana..Tumempa Mkataba Origi lakini naomba tuwe wastahamilivu kwani kwani alichokifanya CL siokwamba lazima akifanye tena.
Tatizo wewe unaongeaga tu bila kujua unachoandika Lampard anaeza fanya makubwa kuliko unavyotarajia mkuu.Kwa sasa kina Wolvehamton ya Nuno Esperinto Santo na Leicester ya Brendan Rodger zipo vizuri. Hii season kutakuwa na mpambano mkali sana.
Only City n Reds ndio wana uhakika wa Top four mbali na kuwa contenders wa ubingwa. Spurs kidogo ni wazuri na bora kuliko hao wengine. Si chelsea ya Lampard wala United ya Solksejer ambao ni makocha wageni na wanaokosa uzoefu kwenye ligi ngumu na ndefu kama epl.
Natabiri Leicester na wolve kuleta changamoto ntingine kwenye top 4.
Izo gemu zisikupe kichwa mkuu, ivo kushinda shinda ata arsenal anashindaga sana.Sasa nimeanza kuelewa sababu ya Klopp kutoharakia usajili, vijana wamacheza mpira mzuri sana.Kuna Ki Jana Hoever, Louruci,Brewster, Nathaniel Philips wameonyesha viwango bora sana.
LFC ina future mkuu!!Izo gemu zisikupe kichwa mkuu, ivo kushinda shinda ata arsenal anashindaga sana.
hivi ndio alicheza kombe la dunia kwao na hakufunga hata goli vile...au niambie mchango wake ulikua upi kulichukua hilo kombe...Sasa mkuu unadhani Giroud ni Origi wangapi? Acha kufananisha bingwa wa kombe la dunia na uyo msaliti aliyekana taifa lake..
Uliiona lini mara ya mwisho na ya sasa inakosa kipi ukiilinganisha na iliyoifunga?hahaha saivi sioni Liverpool ya kuifunga Chelsea.
LETS PLAY THIS:
1. Your best player at the club?
MANE SADIO
2. Your favorite player at the club?
BOBY FIRMINO
3. most underrated player at the club?
ORIGI
4. The player you hate the most at the club?
JORDAN HENDERSON
5. Shit and average player at the club?
DEJAN LOVREN
6. Most overrated player at the club?
MOHAMED SALAH
7. A player you'd welcome as a friend?
GINI WIJNALDUM
8. A player you'd go extra miles to get his signed
Jersey?
VVD