Erick Msheshe
Member
- May 28, 2019
- 8
- 11
Hiyo kitu haiwezekani man u na Liver kwasababu ya upinzani wao hawauzianagi wachezaji.Manchester united kuibomoa Liverpool View attachment 1117839
Hiyo kitu haiwezekani man u na Liver kwasababu ya upinzani wao hawauzianagi wachezaji.Manchester united kuibomoa Liverpool View attachment 1117839
LIVERPOOL WACHEZAJI KADHAA KUBADIRISHA NAMBA ZA JEZI WAVAAZO SASA MSIMU HUU 2019/20
>>Hii itaonekana kwenye siku ya Ijumaa ambapo Wachezaji hao watatambulisha Jezi Mpya za kufanyia Mazoezi(training Kit) na namba zao hizo Mpya.
Allison.
Hii ilisemwa Msimu uliopita kua Kipa huyu atabadirisha namba kutoka 13 kuja namba 1,hii bado kdg haijawa wazi kwa sasa.
Ox.
Ox yeye sasa atatoka kwenye jezi nambari 21 kuja valia jezi nambari 15 ambayo inaachwa Na Danny Sturridge baada ya kumaliza Mkataba wake.
Fabinho.
Mbrazil huyu atabadirisha nambari ya jezi yake kutoka nambari 3 kuja valia nambari 2 itakayoachwa na Nathaniel Clyne.
Andy Robertson.
Huyu atatoka kwenye nambari 26 anayovalia sasa Na kuvalia jezi itakayoachwa na Fabinho,jezi nambari 3.
>>Hayo ndio MABADILIKO KADHAA ya Jezi namba yatakayofanyika MSIMU huu.
Hivi Fabinho kwa nini asichukue jezi ya kiungo badala ya kung'ang'ania jezi za mabeki?
LIVERPOOL WACHEZAJI KADHAA KUBADIRISHA NAMBA ZA JEZI WAVAAZO SASA MSIMU HUU 2019/20
>>Hii itaonekana kwenye siku ya Ijumaa ambapo Wachezaji hao watatambulisha Jezi Mpya za kufanyia Mazoezi(training Kit) na namba zao hizo Mpya.
Allison.
Hii ilisemwa Msimu uliopita kua Kipa huyu atabadirisha namba kutoka 13 kuja namba 1,hii bado kdg haijawa wazi kwa sasa.
Ox.
Ox yeye sasa atatoka kwenye jezi nambari 21 kuja valia jezi nambari 15 ambayo inaachwa Na Danny Sturridge baada ya kumaliza Mkataba wake.
Fabinho.
Mbrazil huyu atabadirisha nambari ya jezi yake kutoka nambari 3 kuja valia nambari 2 itakayoachwa na Nathaniel Clyne.
Andy Robertson.
Huyu atatoka kwenye nambari 26 anayovalia sasa Na kuvalia jezi itakayoachwa na Fabinho,jezi nambari 3.
>>Hayo ndio MABADILIKO KADHAA ya Jezi namba yatakayofanyika MSIMU huu.
Jezi ya Kiungo kwayeye ni Namba 6 ambayo anayo Lovren
Kumbe siko peke yanguThe same
Kuna taarifa kipindi kile alivosain mkataba liverpool alirequest jerzy no 6 inayovaliwa na Lovren ila lovren alikataa kutoaHivi Fabinho kwa nini asichukue jezi ya kiungo badala ya kung'ang'ania jezi za mabeki?
Kwangu pia Keita, fabinho, mane, gomez, anod, vvdMchezaji ninayempenda zaidi kwa sasa ni Keita huniambii chochote kwake nikakuelewa
alikurupuka tu kuandika hiyo comment au anachuki binafsi na klopp mwambie matip na salah pia ni wazungu?huyu ollachuga sometimes dishi huwa linayumba!Mchezaj kamleta mwenyew unasema mbaguz.na shaqir naye vp au na yy ni mweusi
Uyu jamaa ataboronga Sana Afcon ..apo ndo utakapoonekana ubovu wake..