Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,156
- 7,807
🤣 🤣 🤣 saiz wanaugulia maumivu, wengine mimba zimetokaWapuuzi kutoka OT, STANFORD, na wengineo wamekimbia huu uzi sijui watarud lin nimemiss kero zao
🤣 🤣 🤣 saiz wanaugulia maumivu, wengine mimba zimetokaWapuuzi kutoka OT, STANFORD, na wengineo wamekimbia huu uzi sijui watarud lin nimemiss kero zao
I'm asking for my fellow LFC fan Mr.MosDef!
hahaha kaka i salute you...hapo nakumbali 100 kwa 100 upo sahihi..pamoja sana..fingers crossed.Unajua sisi ambao tuna access na internet na tunatembelea mitandao mbali mbali ya nje utakuta hawa jamaa hawana kitu kipya cha kutushangaza.
Ila kuna watu ambao hawatembelei huko kwa sababu ya lugha au access wanawategemea hawa kama wachambuzi na wanawaelewa.
Ila wewe utajikuta wanachambua kitu ambacho tayari unakijua, na unaona wako shallow kwa sababu wamekopi ulikosoma.
Moreno likely kwenda Lazio au kwao Spain bado anahitajika...TRANSFERS - Liverpool
Leaving![]()
01-07-2019
Alberto Moreno (Without Club)?
Daniel Sturridge (Without Club)?
hahaha Klopp silence his critics tangu Jmosi mambo ni powaaa sanaaaa..wanaomponda kwa kukosaga vikombe ujue ni vichwa maji winning UCL is every Manager dream..CV yake sasa inakwenda kua shaded na EPL medal come new season...Dah nimemisi yale maneno.....
Klopp sio kocha wa makombe.......Wazee wa ukame........Livakuku.........Wazee wa Next Season njooni tumewamisi sana.
The kops mwenye picha japo moja ya Joel Matip akiwa ameshika kombe aitupie basi.
thanks Don jamaa namkubali sana sema hapati credit za kutosha.
Hehe..mkuu sis tupo yuropa huku na salah hawez kuja kucheza alhamic kwa status yake saiv,,,Man u ni biggest unit incase of rumazi, kila mchezaji ambay ni top performer kweny club na ligi yake, tutasikia na united wapo interested...hlf ni kama vile united kawa daraja la kupandia mishahara kwa wachezaji wengi sanandugu Honestty mpo serious kumhitaji £180m Salah au mnatuvuruga aisee
Moreno likely kwenda Lazio au kwao Spain bado anahitajika...
Daniel th dancer nae hakosi timu huyu ishu akumbali mshahara ushuke..
Matip na Milner wanaongezewa mkataba😎🤗🤗...
Sielewi Lallana, Lovren wameachwa mpaka lininau mpaka atokee mteja kwa vile wapo ndani ya mkataba...
hapo nimekusoma, Ole kwanza awatimue hao wenye mishahara na ma bonous kama yote ili ku stabilize na kuleta harmony dressing room...kama Sanchez duu ndogo anawakamua...Hehe..mkuu sis tupo yuropa huku na salah hawez kuja kucheza alhamic kwa status yake saiv,,,Man u ni biggest unit incase of rumazi, kila mchezaji ambay ni top performer kweny club na ligi yake, tutasikia na united wapo interested...hlf ni kama vile united kawa daraja la kupandia mishahara kwa wachezaji wengi sana
Lovren,Simon na Lallana pengine mikataba yao ipo hai hivyo klabu itasubiri ofa kuwatoa aisee i hope am right waodoke ku create space fof new comers...Matip anahitaji New Contract (4 Year)
Milner needs one more year Contract
Lovren & Lallan must leave
if we want to land the Holy Grail (EPL) next term, we seriously need to streamline our team very shrewdly; and these are my thoughts......Matip anahitaji New Contract (4 Year)
Milner needs one more year Contract
Lovren & Lallan must leave
Kuna watu wanabisha kwa hilonilisema
ninasema
na nitaendelea kusema na nashukuru pia UEFA waliyasikia maneno yangu "TRENT-ALEXANDER ARNOLD NI BEKI BORA WA UPANDE WA KULIA DUNIANI KWA SASA"
daaaaaaahhhh aiseeeh umeongea bonge la point hapa...lakuongeza kwa hapa ni kwamba kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano nchini kumechangia kwa kiasi kikubwa sana kushuka hadhi kwa hawa wachambuzi wakibongo na waandishi makanjanja mfano yule SALEHE JEMBE na SHAFFIH DAUDA na hii imepelekea mpaka biashara ya magazeti kushuka kwa kiasi kikubwa sana,kwa mfano mwanaspoti na championi habari za kimataifa wanazoziandika mule zote wanazitafsiri kutoka BBC SPORTS........yaani kama wewe ni mtu wa kupitiapitia mitandaoni huwezi kusikiliza vipindi vyao vya michezo na kununua magazeti ya kibongo maana hawana jipyaUnajua sisi ambao tuna access na internet na tunatembelea mitandao mbali mbali ya nje utakuta hawa jamaa hawana kitu kipya cha kutushangaza.
Ila kuna watu ambao hawatembelei huko kwa sababu ya lugha au access wanawategemea hawa kama wachambuzi na wanawaelewa.
Ila wewe utajikuta wanachambua kitu ambacho tayari unakijua, na unaona wako shallow kwa sababu wamekopi ulikosoma.
🤣 🤣 🤣 🤣Wapuuzi kutoka OT, STANFORD, na wengineo wamekimbia huu uzi sijui watarud lin nimemiss kero zao
daaaaaaahhhh aiseeeh umeongea bonge la point hapa...lakuongeza kwa hapa ni kwamba kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano nchini kumechangia kwa kiasi kikubwa sana kushuka hadhi kwa hawa wachambuzi wakibongo na waandishi makanjanja mfano yule SALEHE JEMBE na SHAFFIH DAUDA na hii imepelekea mpaka biashara ya magazeti kushuka kwa kiasi kikubwa sana,kwa mfano mwanaspoti na championi habari za kimataifa wanazoziandika mule zote wanazitafsiri kutoka BBC SPORTS........yaani kama wewe ni mtu wa kupitiapitia mitandaoni huwezi kusikiliza vipindi vyao vya michezo na kununua magazeti ya kibongo maana hawana jipya