Mkuu usinishuhudie uongo jamani.Yaani upo mguu nje mguu ndani...ila kubwa unatamani tufungwe
Mpe dakika 60!Bob kawa mzigo leo. Klopp angalia hili eneo. We need Origi now
i agree my Bobby leo ni pedestrain a bit...Bob kawa mzigo leo. Klopp angalia hili eneo. We need Origi now
Tupo sawa kakawe aint hitting th expected rythm guys..is this game plan so we go full throttle second half au
Sana zimekutana timu mbili tofauti moja ina nia ya kubeba kombe ingine kuingia fainal imetokea tuHii fainal naiona kama haina mvuto sana
Yeah na sio match ya leo takriban match kama 5 hivi zilizopita.Boby kaflop leo
Boby kaflop leo
Mkuu pale naona orig anaweza fanya kitu maana jins alivyo flop naona kama tupo nusu aiseeYeah na sio match ya leo takriban match kama 5 hivi zilizopita.
Upande wa spurs nao Kane nae hamna kitu.
Kama utakuwa ume note, livepool wanafanya makosa kwenye kukaba. Badala ya kuanzia kukaba pale mbele ya dimba wao wanaanzia kwenye half yao. Hii inapelekea Spurs kufika kwenye eneo letu kwa haraka.Tupo sawa kaka
Dakika 45 SPURS hawajafika kwetu
Huwezi badiri mfumo kama mpinzani hafiki kwenu
Sisi tumefika mara 7 kwao
I think tuna conserve to go for the jugular from zile dakika zetu za 60 onwards.we aint hitting th expected rythm guys..is this game plan so we go full throttle second half au
Mildifield nayo haijatulia wanaumana sana aiseApigwe Sub maana jamaa anapoteza Mpira sana halafu anacheza utumbo gani sijui
Hata hivyo spurs walisha ridhika na kufika final.Kama utakuwa ume note, livepool wanafanya makosa kwenye kukaba. Badala ya kuanzia kukaba pale mbele ya dimba wao wanaanzia kwenye half yao. Hii inapelekea Spurs kufika kwenye eneo letu kwa haraka.