Watakuwa na mkosi aiseeeNahisi kama Kuna kitu kitatokea cha ajabu tusichotazamia wengi!!



Watakuwa na mkosi aiseeeNahisi kama Kuna kitu kitatokea cha ajabu tusichotazamia wengi!!



Mkuu usiongelee mambo ya nyumbani huku ugenini jamaniKwa hiyo wewe na cute b mmeamua kukimbia jukwaa lenu?? Nawaona kwenye majukwaa mengine tu!!
Miss you sana!!!!



Umebet nini???Klopp kapoteza six finals. Jamaa ana gundu fulani. Leo akipoteza tutakufa wengi.
Charity begins at homeMkuu usiongelee mambo ya nyumbani huku ugenini jamani![]()
Msaga sumu za siku mingi?Umebet nini???
Hahahaha mwaka huu unazi umetushinda tumekuwa Karanga tu hahahaha!!!
Yaani upo mguu nje mguu ndani...ila kubwa unatamani tufungweKama vile naona mnavyobana nanilii ili wasirudishe hilo goliwengine mnatamani ndiyo ingekuwa dakika ya 90.
Njema nkamu,Tupo tunawasindikiza YNWAMsaga sumu za siku mingi?
Tumeisha anza party huku Ikwiriri
Hahahaha!!!![]()
![]()
If you can't beat them join them!!!!
Popote kombe litakoenda poa tu angalau England nayo ionekane UEFA