Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona kila utabiri unaipa Liverpool nafasi ya kutwaa ubingwa ila msibweteke mnatakiwa kujituma ipasavyo ndani ya kiwanja kuhakikisha mnafunga mabao mengi.

Niwatakie ubingwa mwema

Maana naamini hamtatoka patupu Leo labda mshindwe wenyewe tu kwa uzembe wenu. Lakini kila kitu kiko upande wa Liverpool Leo

Muhimu mjitume kila kizuri huja kwa jitihada na itatakuwa ni aibu kama mtatoka kapa Leo
 
Ha ha ha kuna watu wanahangaika na REDS, baada ya mechi watapotea wiki hapa
ANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
 
Naona kila utabiri unaipa Liverpool nafasi ya kutwaa ubingwa ila msibweteke mnatakiwa kujituma ipasavyo ndani ya kiwanja kuhakikisha mnafunga mabao mengi.

Niwatakie ubingwa mwema

Maana naamini hamtatoka patupu Leo labda mshindwe wenyewe tu kwa uzembe wenu. Lakini kila kitu kiko upande wa Liverpool Leo

Muhimu mjitume kila kizuri huja kwa jitihada na itatakuwa ni aibu kama mtatoka kapa Leo
Hawa ndo watu wanaojua maana ya mpira penye mpira mzur lazima uweje ushabik pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
kwangu hili bandiko ninahisia kali tutalifukua Liverpool akiingia na mentality ya kuifunga spurs kila mara .Ntarudi baada ya mechi hapa ntasoma comment tu
 
ANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
Sawa nyie endeleeni na njozi zenu
 
ANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
Mm nimeeelewa mkuu io mbona ipo wazi
 
90' Four minutes have been added.

90+4'. And the referee indicates its a corner. And then Eriksen with the corner.

90+5. LLORENTEEEEEEEE OOOOOH WHAT A HAND HEADER AND ALLISON DROP THE BALL INTO HIS OWN NET. IT'S PAINFUL BUT HE MAKES SPURS 3 liverpool 2.

96' OH what is going on the referee is called to check the VAR. It seems like it was a hand ball.

98' IT'S A GOAL OOOH WHAT A MOMENT,,,
the citizens wote wapo kwenye maombi Spurs aibuke mshindi leo...ajabu nyie mmeshindwa sasa mmebakia wapiga ramli..

ni masaa machache tu kidume the real Reds of UK akabidhiwe kombe lake..

twende taratibu usije jipiga ban humu
 
Kesho ndio siku rasmi kwa washabiki wa l'pool kuichukia VAR .
Nataka spurs washinde kwa sababu najua hawatasema " we are the best team in europe"

COME ON SPURS...

Alisikika mlevi mmoja akisema haya jana.

Sasa kwa sababu mmemzarau spurs kuanzia wachezaji mpaka mashabiki.
Kesho mtaichukia spurs kuliko timu yoyote kama mm navyoichukia.
mkuu whoeva wins is th best in Europe.club level hata wasiposema huo.ndio.utakua ukweli..
 
Naona kila utabiri unaipa Liverpool nafasi ya kutwaa ubingwa ila msibweteke mnatakiwa kujituma ipasavyo ndani ya kiwanja kuhakikisha mnafunga mabao mengi.

Niwatakie ubingwa mwema

Maana naamini hamtatoka patupu Leo labda mshindwe wenyewe tu kwa uzembe wenu. Lakini kila kitu kiko upande wa Liverpool Leo

Muhimu mjitume kila kizuri huja kwa jitihada na itatakuwa ni aibu kama mtatoka kapa Leo
Shukrani ndugu Mangi
 
ANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
duu well noted...hopefully n somehowly we aint in that category.
 
Naona kila utabiri unaipa Liverpool nafasi ya kutwaa ubingwa ila msibweteke mnatakiwa kujituma ipasavyo ndani ya kiwanja kuhakikisha mnafunga mabao mengi.

Niwatakie ubingwa mwema

Maana naamini hamtatoka patupu Leo labda mshindwe wenyewe tu kwa uzembe wenu. Lakini kila kitu kiko upande wa Liverpool Leo

Muhimu mjitume kila kizuri huja kwa jitihada na itatakuwa ni aibu kama mtatoka kapa Leo

Mkuu usijipe shida, hili kombe tulishamalizana nalo toka Barca alivyopigwa goli la 4.

Hawa Tottenham hawana chao, game ilisha isha hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom