BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,911
- 11,729
+asha ngedeleMkuu hivi kumbe na wewe una mambo ya Kimwajuma mwajuma hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
+asha ngedeleMkuu hivi kumbe na wewe una mambo ya Kimwajuma mwajuma hivi
Baba fujo letu wanalijua ndio maana wanahaha tusichukue makombe ila leo MADRID watu hawatolalaMitaa ya Madrid imeshaanza kutetemeka na The Reds
View attachment 1113556
ANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:Ha ha ha kuna watu wanahangaika na REDS, baada ya mechi watapotea wiki hapa
Hawa ndo watu wanaojua maana ya mpira penye mpira mzur lazima uweje ushabik pembeniNaona kila utabiri unaipa Liverpool nafasi ya kutwaa ubingwa ila msibweteke mnatakiwa kujituma ipasavyo ndani ya kiwanja kuhakikisha mnafunga mabao mengi.
Niwatakie ubingwa mwema
Maana naamini hamtatoka patupu Leo labda mshindwe wenyewe tu kwa uzembe wenu. Lakini kila kitu kiko upande wa Liverpool Leo
Muhimu mjitume kila kizuri huja kwa jitihada na itatakuwa ni aibu kama mtatoka kapa Leo
kwangu hili bandiko ninahisia kali tutalifukua Liverpool akiingia na mentality ya kuifunga spurs kila mara .Ntarudi baada ya mechi hapa ntasoma comment tuANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
Afadhali umebadili ile slogan yakoLiverpool family
Liverpool leo ni leo
Mungu ibariki Liverpool!!
Tuwepo hapa kwa wingi wkt mechi inapo chezwa tujadili
Sawa nyie endeleeni na njozi zenuANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
Mm nimeeelewa mkuu io mbona ipo waziANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
the citizens wote wapo kwenye maombi Spurs aibuke mshindi leo...ajabu nyie mmeshindwa sasa mmebakia wapiga ramli..90' Four minutes have been added.
90+4'. And the referee indicates its a corner. And then Eriksen with the corner.
90+5. LLORENTEEEEEEEE OOOOOH WHAT A HAND HEADER AND ALLISON DROP THE BALL INTO HIS OWN NET. IT'S PAINFUL BUT HE MAKES SPURS 3 liverpool 2.
96' OH what is going on the referee is called to check the VAR. It seems like it was a hand ball.
98' IT'S A GOAL OOOH WHAT A MOMENT,,,
mkuu whoeva wins is th best in Europe.club level hata wasiposema huo.ndio.utakua ukweli..Kesho ndio siku rasmi kwa washabiki wa l'pool kuichukia VAR .
Nataka spurs washinde kwa sababu najua hawatasema " we are the best team in europe"
COME ON SPURS...
Alisikika mlevi mmoja akisema haya jana.
Sasa kwa sababu mmemzarau spurs kuanzia wachezaji mpaka mashabiki.
Kesho mtaichukia spurs kuliko timu yoyote kama mm navyoichukia.
Pamoja ndugu..Tuko pamoja mkuu.
Come on Liverpool
kila la kheri Tottenham
ni makosa ndugu na si kingine, hili la bahati kila timu inayoKwenye mpira hakuna bahati na ndio maana ukaitwa ni mchezo wa makosa. Utaniambia Man City alibahatisha kuchukua EPL au ni makosa yenu ndio yalimpa kombe?
Shukrani ndugu MangiNaona kila utabiri unaipa Liverpool nafasi ya kutwaa ubingwa ila msibweteke mnatakiwa kujituma ipasavyo ndani ya kiwanja kuhakikisha mnafunga mabao mengi.
Niwatakie ubingwa mwema
Maana naamini hamtatoka patupu Leo labda mshindwe wenyewe tu kwa uzembe wenu. Lakini kila kitu kiko upande wa Liverpool Leo
Muhimu mjitume kila kizuri huja kwa jitihada na itatakuwa ni aibu kama mtatoka kapa Leo
duu well noted...hopefully n somehowly we aint in that category.ANGALIZO: Spurs hana chakupoteza katika mechi ya leo,wakati huohuo Liverpool wameenda namatokeo yao vichwani mwao,mwaka huu historia inaonyesha kuwa msimu huu ktk mashindano haya timu zote zilizokuwa zimeenda na matokeo kichwani hakuna hata moja iliyofanikiwa,mfano:
1.Psg vs Man U
2.Mancity vs Spurs
3.Bayern vs Liverpool
4.Ajax vs Spurs
5.Liverpol vs Barcelona
6.Chelsea vs Arsenal
Kuna kila dalili za mtu mzima kuaibika leo mwenye akili ataelewa namaanisha nini.
mkuu whoeva wins is th best in Europe.club level hata wasiposema huo.ndio.utakua ukweli..
Naona kila utabiri unaipa Liverpool nafasi ya kutwaa ubingwa ila msibweteke mnatakiwa kujituma ipasavyo ndani ya kiwanja kuhakikisha mnafunga mabao mengi.
Niwatakie ubingwa mwema
Maana naamini hamtatoka patupu Leo labda mshindwe wenyewe tu kwa uzembe wenu. Lakini kila kitu kiko upande wa Liverpool Leo
Muhimu mjitume kila kizuri huja kwa jitihada na itatakuwa ni aibu kama mtatoka kapa Leo