OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
HahahahaShukrani Mkuu, hii mimi kwa upande wangu ni kukamilisha ratiba.
Ikitokea cha kutokea itabidi nijipe ban ya Mwezi mzima humu JF.



tuna amini vijana watapambana ili usijipige ban maana tutakuwa na wasi wasi Sana Labda itakuwa umeshachukua maamuzi magumu..
