OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,316
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuna amini vijana watapambana ili usijipige ban maana tutakuwa na wasi wasi Sana Labda itakuwa umeshachukua maamuzi magumu..Shukrani Mkuu, hii mimi kwa upande wangu ni kukamilisha ratiba.
Ikitokea cha kutokea itabidi nijipe ban ya Mwezi mzima humu JF.