Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kesho ndio siku rasmi kwa washabiki wa l'pool kuichukia VAR .
Nataka spurs washinde kwa sababu najua hawatasema " we are the best team in europe"

COME ON SPURS...

Alisikika mlevi mmoja akisema haya jana.

Sasa kwa sababu mmemzarau spurs kuanzia wachezaji mpaka mashabiki.
Kesho mtaichukia spurs kuliko timu yoyote kama mm navyoichukia.

Kwa faida yako na ya wengine pia, rudi nyuma uangalie statistics za UEFA.

Ikitokea timu mbili zitaingia fainali, asilimia kubwa 85+ itakayochukua ile ambayo imeshawahi kuchukua.

Hili kombe haliendi ugenini, linapajua nyumbani kwake.
 
Betting ni vita ya kiuchumi kati yako Wewe mchezaji na Muhindi, Mtu kama huyo jamaa hawezi kuelewa hizi Principles sasa ili akili imkae sawa na aache hizi tabia za kimwajuma mwajuma aweke hiyo lakini 4 kwa Spurs asubiri atapata Jipu gani.
Kijana Embu tuliza miwasho yako, umeambiwa nataka kuweka laki nne na nan??

Hivi mbona unakuwa kiazi namna hii unajidhalilisha

Ficha upumbavu wako, una mke na familia ila unaongea pumba tuu,
 
Mkuu Arsenal ilikuwa ni kuwapa moyo tu ila ww na Arsenal wate vilema mpira mlicheza mbovu ambao hata ndanda hawachezi hivyo sema bahat ilikuwa yenu


Kuhusu spurs sio swala la kuficha ficha yaan tunamgonga sio chin ya goli mbili mpira utadunda pengine lkn sio kesho
Kwenye mpira hakuna bahati na ndio maana ukaitwa ni mchezo wa makosa. Utaniambia Man City alibahatisha kuchukua EPL au ni makosa yenu ndio yalimpa kombe?
 
Wakuu kuweni na akiba ya maneno naona wengine wanafikia mpaka kusema wanaenda kukamilisha ratiba kwamba mmeshachukua kombe. Nasubiri nione
IMG_20190601_070938_766.jpeg
 
Kwa faida yako na ya wengine pia, rudi nyuma uangalie statistics za UEFA.

Ikitokea timu mbili zitaingia fainali, asilimia kubwa 85+ itakayochukua ile ambayo imeshawahi kuchukua.

Hili kombe haliendi ugenini, linapajua nyumbani kwake.
Najaribu kuwaza timu zilizochukua kwa mara ya kwanza ilikuaje.
 
90' Four minutes have been added.

90+4'. And the referee indicates its a corner. And then Eriksen with the corner.

90+5. LLORENTEEEEEEEE OOOOOH WHAT A HAND HEADER AND ALLISON DROP THE BALL INTO HIS OWN NET. IT'S PAINFUL BUT HE MAKES SPURS 3 liverpool 2.

96' OH what is going on the referee is called to check the VAR. It seems like it was a hand ball.

98' IT'S A GOAL OOOH WHAT A MOMENT,,,
Mkuu umelewa au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho ndio siku rasmi kwa washabiki wa l'pool kuichukia VAR .
Nataka spurs washinde kwa sababu najua hawatasema " we are the best team in europe"

COME ON SPURS...

Alisikika mlevi mmoja akisema haya jana.

Sasa kwa sababu mmemzarau spurs kuanzia wachezaji mpaka mashabiki.
Kesho mtaichukia spurs kuliko timu yoyote kama mm navyoichukia.
Sasa ulitegemea nin kama mnacheza mpira wa kidada UEFA Inahitaji roho mbaya city UEFA hana tofauti na PSV

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom