Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,743
Hamtaamin kipigo nje ndaniLiverpool ni team ya aina yake, ni team yenye maajabu yake, uliza legend yeyote duniani atakueleza.
Liverpool ni team isiyotabirika na imekuwa aggressive sana hasa unapokuja kwenye mashindano ya mabingwa ulaya.
Sio tamaduni ya liverpool kutolewa nusu fainali, King of comeback ni Liverpool, Libery wa Bayern aliwah kukili kuwa moja ya uwanja asiopenda kucheza ni ANFIELD, ndomana kile kimsemo kinachosema "This is Anfield" hakijawah kuja kwa bahati mbaya, atmosphere ya Anfield ni zaidi ya jehanamu.
Tukutane jumanne hapa mtaenda kuniambia.
πππhawa kuku wa malkia wapewe tuzo ya kujipa moyo asee.πππ eti barca anakufa 4-0πππ
Hizi comment za liverpool fans nabaki nacheka tu,
Wanapeana moyo mpaka wanaongea vitu ambavyo haviwezekani
Sioni kabisa namna ya liverpool kupiga comeback 4-0 barcelona, impossible
[emoji23][emoji23][emoji23]hawa kuku wa malkia wapewe tuzo ya kujipa moyo asee.[emoji23][emoji23][emoji23] eti barca anakufa 4-0[emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni kuota mchana nyie mbayuwayuu hahaaa
Mpaka naona aibuu aisee
Nimegundua tatizo la liverpool fans wanaamin historia zinaweza kuwasaidia,Ujui mpira wewe mbona msimu ulipita barca alishinda 4-1 nyumbani , mechi ya pili nyumbani kwa roma akafa 3 bila.sasa kama anafungwa na timu ndogo kama roma,sasa Liverpool si atakuchakaza.
Leo ndiyo umewajua?nilipokuja kugundua mpira kitu nuksi - mashabiki wa liverpool walisema watachukua epl na uefa -hivi unajua now wanasemaje ??
wanasema hivi"
zimebaki mechi mbili epl anything can happen daah noma wakati walisema before wao mabingwa
Liverpool ni team ya aina yake, ni team yenye maajabu yake, uliza legend yeyote duniani atakueleza.
Liverpool ni team isiyotabirika na imekuwa aggressive sana hasa unapokuja kwenye mashindano ya mabingwa ulaya.
Sio tamaduni ya liverpool kutolewa nusu fainali, King of comeback ni Liverpool, Libery wa Bayern aliwah kukili kuwa moja ya uwanja asiopenda kucheza ni ANFIELD, ndomana kile kimsemo kinachosema "This is Anfield" hakijawah kuja kwa bahati mbaya, atmosphere ya Anfield ni zaidi ya jehanamu.
Tukutane jumanne hapa mtaenda kuniambia.
Kwa mpira gani barca aliocheza nou camp mpaka asifungwe hizo goli?
Ni ngumu mno.[emoji23][emoji23][emoji23]hawa kuku wa malkia wapewe tuzo ya kujipa moyo asee.[emoji23][emoji23][emoji23] eti barca anakufa 4-0[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa maneno yanawezekana. Manake siku zote wanachezea mdomoni na nje ya uwanja. Wakati mpira unachezwa uwanjani na Ni dakika 90[emoji23][emoji23][emoji23]hawa kuku wa malkia wapewe tuzo ya kujipa moyo asee.[emoji23][emoji23][emoji23] eti barca anakufa 4-0[emoji23][emoji23][emoji23]