interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,410
Leo goal yao kubwa ilkua n pts 3 na ndo wamefankiwa.....
Mpira tactees bro....
Ndo maana kocha anakuepo kuelekeza kwmba leo kifanyike nn kulngana na timu 2nayocheza nayo.....
Ingekua mfumo wa barca ni dynamic bas wangepgwa na tim kbao et
Hakucheza chochote barca sema tu walitembelea bahati lkn hata technically bado walishikiliwa na Liverpool kila idara kipindi cha pili
Sawa mwl.Kashasha.
Kweli wew sio mfuatiliaji wa mpiraHakucheza chochote barca sema tu walitembelea bahati lkn hata technically bado walishikiliwa na Liverpool kila idara kipindi cha pili
Kweli wew sio mfuatiliaji wa mpira
Ulizingalia game za barca vs madrid...
Ile ya copa delaray na ligi?? Uliona nin
Barca hii inayochezewa mpira ni hatari zaida kuliko barca inayocheza mpira mwingi wa pasi. Kaangalie hata game na Lyon halafu urudi hapa kubweka
Kweli wew sio mfuatiliaji wa mpira
Ulizingalia game za barca vs madrid...
Ile ya copa delaray na ligi?? Uliona nin
Barca hii inayochezewa mpira ni hatari zaida kuliko barca inayocheza mpira mwingi wa pasi. Kaangalie hata game na Lyon halafu urudi hapa kubweka
Bangi mbaya sana ubaya wa Liverfool mnakujaga na matokeo yenu mkononi anflied mkikaza Kwa nguvu ya bange mnatoa draw
Statistics za nini sasa...wakati mim nakuambia barca inayozidiwa kwenye statistics ni hatari zaid kwenye matokeo kuliko barca ile ya pasi nyingi,.Ebu ingia Goal.Com ss hv kwanza uangalie match statistics u screenshot kisha uambatanishe hapa kisha uone jinsi gani wewe ulivyo kilaza kuliko mimi maana naona unaongea kichuki bila uhalisia
Hakuna cha hatari yoyote kaka zaidi ya kuwa na bahati tu, hv unataka kuniambia kiuhalisia ile nafasi aliyoikosa Salah ikapiga mwamba angeikosaje Suarez?Statistics za nini sasa...wakati mim nakuambia barca inayozidiwa kwenye statistics ni hatari zaid kwenye matokeo kuliko barca ile ya pasi nyingi,.
Wew unataka screenshot za nini? Kuna aliekubishia kuwa kwenye takwimu liva kamzidi barca??Au nielekeze mimi namna ya kuambatanisha hizo screenshots hapa kisha nikuaibishe jinsi gn hujui kuongea ukweli kuliko mahaba yako ya Barcelona
Kwanini bahati iwe kwa barca tu na sio Liverpool?Hakuna cha hatari yoyote kaka zaidi ya kuwa na bahati tu, hv unataka kuniambia kiuhalisia ile nafasi aliyoikosa Salah ikapiga mwamba angeikosaje Suarez?
Washambuliaji wa Liverpool hawakujiamini tu lkn hii mechi ingeisha hata 3-2
Wew unataka screenshot za nini? Kuna aliekubishia kuwa kwenye takwimu liva kamzidi barca??
Takwimu zina msaada gani ukipoteza mchezo?
Baada ya miaka mitano hakuna anaekumbuka takwimu za mchezo husika watu wanayakumbuka matokeo ya mwisho
Kwanini bahati iwe kwa barca tu na sio Liverpool?
Unajua salah,mane na bobby wana goli ngap msimu huu?Basi kubali kuwa Barca hakukutana na forwards makini leo hii lkn laiti angekutana nao kama akina Didie Drogba wa enzi zile angekaa mapema tu, so ni bahati tu wala haina uhatari wowote
Unajua salah,mane na bobby wana goli ngap msimu huu?
Unaweza je kusema ni forward butu wakati kwenye ligi tano kubwa wao ndio utatu hatari zaidi?
Unajua salah,mane na bobby wana goli ngap msimu huu?
Unaweza je kusema ni forward butu wakati kwenye ligi tano kubwa wao ndio utatu hatari zaidi?
Liva hamna kitu mulee..bado sana kupambana na timu za Spain hata ingekua Sevilla au atm mambo yangekua haya haya tu....Salah leo hakuwa makini tu ktk umaliziaji lkn ss hv ungekuwa unakoroma tu kwa ile nafasi aliyogongesha mwamba wala si vingine
Pole sana ulibet sh ngap? Ilikua ni pesa ya ada auPia Barcelona wamebebwa sana kwa rafu walizowachezea Liverpool leo hii, hv ile rafu aliyocheza Vidal kwa Sadio Mane isingekuwa kadi ya njano au nyekundu laiti angechezewa Messi au Suarez?
Liva hamna kitu mulee..bado sana kupambana na timu za Spain hata ingekua Sevilla au atm mambo yangekua haya haya tu....
Rudini mkakipige na kina Cardiff cty, Huddersfield na takataka nyingine..