Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool hapat chcht msimu huu....wangekomaaga hata na carabao....ni kapa tena
 
Jamaa wakija ni english tu humu

Yaani daaah, ni mwendo wa uchambuzi na kutukana wenzao kwa kingeleza tu huku wakificha aibu yao kama ndege mbuni kwenye mchanga.

You guys, nasema tena kwa mara nyingine "You Will Never Win Anything This Season" under huyo kocha wenu mwenye kiseyeye, he his manager of losing side tangu akiwa B.Dortmund.
 
Hali ya Le mutuz sio nzuri[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwahesabu za harakaharaka majogoo tumeaga mashindano,nivigumu sana mechi ya marudiano kumpiga Barca 4 bila labda yule mwanga Mesi awe amekufa au amepata ulemavu wa kudumu.
 
Kaz anayoweza klopp n kuwakumbatia wachezaj na kupunch upepo mwaka wa ngap huu hata kikombe cha UJI hakuna inaumiza sana kwa kweli
Wanazarau hivyo vikombe vya futuhi, tofauti na PEP anakomba yote, kombe la mfalme, Karabao, na sasa FA na EPL yote PEP atazibeba hana mazarau, ila Livber wana mazarau sana na hivi vikombe vidogo
 
IPO juu yetu kwa kipi labda,tumekutana Leo statistcs zinaonyesha tumewazidi karibu kila kitu.insu hapa no klopp ndio kazingua
 
Kwani unahisi watapata nini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…