Kuna sehemu kichwani hakupo sawa unamfananisha klopp na sari,!?kwa Dunia ya Sasa ukimtoa pep nadhani klopp Ni kocha anaetamaniwa na kila timu regardless ya makombe aliyobeba..Kuna wakati timu inahitaji ushind na falsafa KLOPP ameleta falsafa Yale Liverpool na timu yetu inaeleweka of coz tunaumia ndio maana unaona humu watu wakitoa ushauri/kupingana/kurekebishana yote hayo ni mapenz tu kwa chama letu LFC, Kama ulikuwa unashabikia mpira mwaka05/06 LFC inachukua UBINGWAUefa kwenye ligi hatupo top 4.tulicheza na Ac Milan lkn sisi ndio tulionekana undergod,angalia kipind hiki Liverpool Ni moja ya timu tishio duniani ambayo Ni ndoto ya kutisha kwa kocha yyt kukutana nayo..
NB: KLOPP HANA MAPUNGUFU HATUKATAI ILA NI KOCHA AMBAYE AMERUDISHA HESHIMA YA LIVERPOOL KWA KIASI KIKUBWA HAO MAKOCHA BORA WACHUKUENI NYIE SISI BADO TUNA IMANI NA KLOPP,,,, MOURHINO KAENDA MAN UNTD NA VIKOMBE KABEBA BADO MMEFUKUZA BINADAMU HAJAWAI RIDHIKA.KIBAYA CHETU(KLOPP)TUNAKIPENDA,KIZUR CHENU(!?)KAENI NACHO.