Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Ifikie hatua ujirudi uwe unaandika mambo ya maana kuhusu wachezaji wetu!Rising ya Keita imemfanya ajitume kwa nguvu zote coz anaweza kupotezwa
Liverpool HALISI tuzidi kuwa pamoja!
Ifikie hatua ujirudi uwe unaandika mambo ya maana kuhusu wachezaji wetu!Rising ya Keita imemfanya ajitume kwa nguvu zote coz anaweza kupotezwa
Mkuu ina maana hukuona trend ya game na kufanya u r own analysis?Kuwa na moyo nako ni kizur

Kweli kabisa huyu Hazard si wa mchezo mchezoMatip is good but Hazrd is on another Planet
Ahahha mkuu salute..old trafford tutawapa ubingwaMkuu ina maana hukuona trend ya game na kufanya u r own analysis?
Ki level Chelsea HAWAPO kundi moja na Chelsea
Ukiunganisha hizi teams ni Kante tu atacheza na Keita na Fabihno kutoka Chelsea!
Hata Hazard hawezi muweka Salah wala Mane nje
Hazard ataanzia bench team hizi ukiziunganisha

