Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Hata wewe unaweza kulaumiwa kwa kutumia njia hatarishi kufika nyumbani na zenye usalama zipo....and am sure even if he wins us a trophy you'll still always find a way to trash him.
deja vu!!
Hata wewe unaweza kulaumiwa kwa kutumia njia hatarishi kufika nyumbani na zenye usalama zipo....and am sure even if he wins us a trophy you'll still always find a way to trash him.
deja vu!!
Nakumbuka nishawahi kumuuliza Malcom Lumumba nifanyaje angalau kufikia hata robo ya uwezo wake...
Eti aliniambia niwe na utaratibu wa kupenda kujisomea somea..!
Wewe unaliamini hilo jibu lake mkuu..?
Tuachane na hizo penati kwanza...
Kwahiyo wewe unaamini Man City wanawapa pesa marefa ili wafanye maamuzi yenye kuwabeba..?
Aiseee, naona mshaanza kuzingua sasa.Hapana, dah hao jamaa viatu vyao ni vikubwa sana kwangu mkuu.
Ni moja ya watu na admire sana level zao za uelewa na jinsi wanavyowasilisha mada zao.
Very critical and analytical.
Humble African ana thread moja kuhusu elimu ya Japan na jinsi tunavyoweza kujifunza kwao, ile nimewahi kuitumia presentation fulani, nilionekana kichwa balaa.
Nilifuata ushauri wake mkuu...Ni kweli kabisa, kusoma hasa vitabu kunasaidia sana kuwa na knowledge ya vitu vingi. Maana unakuwa na reference nyingi unapotakiwa kujadili jambo.
Kuna vitabu, biography, bibliography, documentaries ni source kubwa sana ya knowledge.
Daah naona mshaanza kuzingua, hizi ni mbwembwe za hapa JF tu mkuu. Kuna watu wana akili sana mzeeNakumbuka nishawahi kumuuliza Malcom Lumumba nifanyaje angalau kufikia hata robo ya uwezo wake...
Eti aliniambia niwe na utaratibu wa kupenda kujisomea somea..!
Wewe unaliamini hilo jibu lake mkuu..?
Nilifuata ushauri wake mkuu...
Ila mimi naamini genes,malezi/makuzi na lishe ni vitu vikuu vinavyochangia uwezo wa mtu katika kufikiri..!
Bila hivyo nilivyotaja naamini kitabu hakina msaada mkubwa...
Endelea kufuatilia tu mkuu, mdogo mdogo tu.Nilifuata ushauri wake mkuu...
Ila mimi naamini genes,malezi/makuzi na lishe ni vitu vikuu vinavyochangia uwezo wa mtu katika kufikiri..!
Bila hivyo nilivyotaja naamini kitabu hakina msaada mkubwa...
Samahani kwa kukutag mkuu,naelewa haupendi attention...Daah naona mshaanza kuzingua, hizi ni mbwembwe za hapa JF tu mkuu. Kuna watu wana akili sana mzee
Hahahahaha, wewe ni kamanda wangu sana ni-tag hata usiku wa manane ukitaka. Japo ova unanifahamu, sipendi sana attention.Samahani kwa kukutag mkuu,naelewa haupendi attention...
Ngoja niwe Cristiano Ronaldo Kiongozi...Mkuu unachosema ni kweli, ila pia kwa kiasi kikubwa unaweza kujifunza sana kutokana na kusoma. Amini nakwambia.
Kuna inborn traits kwenye akili, lakini bila kuicompliment kwa kusoma haiwi kitu.
Wewe ni mshabiki wa mpira, angalia tofauti ya Messi na Ronaldo kwenye swala la talent, Messi kamwacha mbali sana Ronaldo kwenye talent, ila Ronaldo kwa kutumia talent kiasi aliyonayo anafanya sana mazoezi na kujifunza kila siku mpaka anaweza kuwa kwenye same discussion na Messi in terms ya achievement.
Kuna msemo kwamba Hardwork Beats Talent.
Indeed, hard work beats talent. But if you have talent and you work hard, matokeo yake ni hatari sana.Mkuu unachosema ni kweli, ila pia kwa kiasi kikubwa unaweza kujifunza sana kutokana na kusoma. Amini nakwambia.
Kuna inborn traits kwenye akili, lakini bila kuicompliment kwa kusoma haiwi kitu.
Wewe ni mshabiki wa mpira, angalia tofauti ya Messi na Ronaldo kwenye swala la talent, Messi kamwacha mbali sana Ronaldo kwenye talent, ila Ronaldo kwa kutumia talent kiasi aliyonayo anafanya sana mazoezi na kujifunza kila siku mpaka anaweza kuwa kwenye same discussion na Messi in terms ya achievement.
Kuna msemo kwamba Hardwork Beats Talent.
Daah naona mshaanza kuzingua, hizi ni mbwembwe za hapa JF tu mkuu. Kuna watu wana akili sana mzee
Ngoja niwe Cristiano Ronaldo Kiongozi...
Duuh hiyo Impact ambayo mnaisema mimi nimeileta humu jukwaani kiukweli hata sijawahi iona. Lakini kama ni kweli iko hivyo basi namshukuru sana Mungu kwamba maneno yangu machache yamebadilisha maisha ya wengi.That is the humbleness we are talking about.
Kuna jamaa angeona kasifiwa angeongezea "Mimi ni Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer".
Mkuu we acknowledge how you have impacted changes into us, probably without your knowledge.
Ahahaaaah...That is the humbleness we are talking about.
Kuna jamaa angeona kasifiwa angeongezea "Mimi ni Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer".
Mkuu we acknowledge how you have impacted changes into us, probably without your knowledge.
Indeed, hard work beats talent. But if you have talent and you work hard, matokeo yake ni hatari sana.
Ahahaaaah...Duuh hiyo Impact ambayo mnaisema mimi nimeileta humu jukwaani kiukweli hata sijawahi iona. Lakini kama ni kweli iko hivyo basi namshukuru sana Mungu kwamba maneno yangu machache yamebadilisha maisha ya wengi.
Duuh hiyo Impact ambayo mnaisema mimi nimeileta humu jukwaani kiukweli hata sijawahi iona. Lakini kama ni kweli iko hivyo basi namshukuru sana Mungu kwamba maneno yangu machache yamebadilisha maisha ya wengi.
Ahahaaaah...
Kuna mwingine huwa anajiita mwenye kipaji cha kutukuka..!