End product? I mean tutajuaje kuwa Keita ni mzuri kwenye hilo eneo kama hapati nafasi ya kucheza chief, he barely gets game-time, kacheza dk 6 tu tangu ile game ya Bournemouth.
then kama Klopp haoni end product kwa Keita, inatakiwa iwe the same kwa Henderson/Gini/Lallana ambao wamekuwa wakichezeshwa kama number 8/10.
Henderson and Gini wameplay more than 20 games this season, yet their productivity from Midfield to attack is equal to zero, End product ipi hiyo tunayoizungumzia chief? You just need to admit kuwa you and Klopp are wrong about Keita, if ishu ni end product, then we should ask the same questions to Henderson/Gini ambao wanacheza on weekly basis. Keita is better than them at pressing/dribbling etc and they are not better than him kwenye suala la end product.
This is Man city’s Midfield, compare their productivity to ours, and we can discuss more about our MF end-product.
View attachment 1041528