Bana with Klopp i wont be surprised vs Bavarians umuone Lallana uwanjani ndugu yangu..
to be frank i think Klopp wa Dortmund after losing his Mr Brain is going backwards..he has been wt this dead woods who add very little to th team since he joined..angewauza hata watatu anunue mmoja mwenye real impact sio bench warmer.
in terms of Club developing we are going in th right direction but if again tutaishia nafasi ya pili historia kwetu hua mbaya sana esp wt major players getting tired n departing hivyo tunaanza kujenga tena...bt as far as position we are he has done great great job kwa wachezaji wa kuunga unga compared to Citi..
n that defeat at Red start ddnt teach him anything abt team selection as u can see kwenye EPL bado anatwangusha..
without Allison magic hata hii last 16 tusingefika..he had th chance to wrap t at Red Start only for us to be humilated..
we are still in th race bt now t no longer in our hands we have to expect Citi to lose n we captilize n be ahead...hope mother luck is on our side.
Not saying we will win at Bayern, because i’ve already expressed my concerns kuhusu possibility kubwa ya kutolewa kutokana na record yetu ya away kwenye CL.
...And i wont be suprised at all kama tukitolewa.
But, main point is, being a LFC fan for a long time, nimeshuhudia highs and downs, nimeshuhudia bright days and Dark days, for any club in the world ni kuwa ilipo LFC sasa ni safe kusema kuwa ni “bright days”, for once since 2009, tumekuwa na consisitency kwenye top 4 kwa misimu mitatu mfululizo. We cant take that away from Klopp.
He’s a coward, lacking balls and so sturbbon, but we’ll be so stupid ku-ignore yale aliyoyafanya mpaka now at LFC.
Henderson/Lallana/Lovren and now Milner are his main setbacks, kama ataamua kuachana na hawa players atafanikiwa sana pale Liverpool.
I’ve said this and i will say it again, Klopp been working with Buvac tangu anaanza career yake ya ukocha, so losing him lazima kungeleta ukakasi kidogo kwenye managerial career yake, tumeona hilo kwa Mourinho and many other top coaches.
Will always criticise Klopp, because i want my club to win things, i will criticise him because he’s paid a lot of money kwa ajili ya kuiletea club trophies, but not even once in my life i’d want him to LEAVE this Club. Seen it with Houllier, seen with it Benitez, no way nahitaji kuona demise nyingine ya LFC baada top manager kuondoka.