Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kosa la hiyo mido ni nn?
Salah anakosa mabao kama yale hata mido ziwe na uwezo utafanya nn?
Liverpool mwenye moto sasa ni Mane tu,wale wawili mbele hawapo sawa
Mido haijafanya kosa lolote
Fabihno na Wilj wana uhakika wa kuanza kati,sasa haya ya kama ni uzawa kati yanatoka wapi?


Mane? Mane tunamuonaga anakosa mara ngapi nafasi alizobaki yeye na kipa! Salah ni bora sana kuliko Mane katika finishing wengi wanalijua hilo mpaka ikafikia watu wakamuweka daraja moja na Messi sababu ya makali yake kwenye finishing

Sema Mane anakuwa bora kuliko Salah sababu ana first touch nzuri kuliko Salah, pia Mane anauwezo mkubwa kwenye ku'hold on to the ball' kuliko Salah, anauwezo mkubwa wa kumiliki mpira kuliko Salah

Ile chance ya kwanza aliyopata Salah kwenye mechi ya mwisho versus Everton pale ilikuwa bahati lakini Salah alifanya alichojitahidi, mnaonanga kuhusiana na kukosa ile chance mnamuonea sana nasema

Kuhusu mido najua ukweli unaujua kuwa Messi mafanikio yale makubwa yamechangiwa na uwezo,kipaji na moyo wa Xavi Hernandez, huwezi kutaja mafanikio makubwa sana ya Messi katika miaka yake 10 ya mwanzo katika soka bila kumtaja Xavi Hernandez ukifanya hivyo huo ni uchoyo wa fadhila, point yangu hapa ni kuwa utakubaliana nami kuwa mafanikio ya Salah msimu uliopita yalichangiwa sana na viungo wabunifu na wenye uwezo na wasio wachoyo ambao hawapo msimu na hapa nawaongelea Alex-oxlade Chamberlain na Philippe Coutinho. Msimu huu Gini na Milner ndio wanachezeshwa nyuma ya Salah kwa hiyo naomba nikuulize Gini na Milner wamempa Salah Assist ngapi
 
I see nothing is this thread but shits from the so called Manure Fanboys resurrected by OGS from their Tombs! Hope soon they will be back where they belong (6th position).

Mkuu umegeuka mtabir siku hizi hili povu si la kitoto vumilia tu
 
If you ask me a question what do you hate most in this world? Simply I will reply to you "Klopp"

I hate him even more than devil

All these insults that I receive day after day is because of him.

Look at me now! Even my own Young brother (Chelshit Fanboy) is mocking me for descending from the top of the table to the second place in one month!
 
What the fvcking snow has to do with our damn result? United's injuries? Wind? Next we will drop a points because of his wife's birthday
 
What the fvcking snow has to do with our damn result? United's injuries? Wind? Next we will drop a points because of his wife's birthday
Hahahahhahaha,

Dude calm down, C'mon don't take it that serious or you'll end up hurting your fellow fans maana comments zako zinauma mno ukizingatia the so called Manure wanateleza tu now.....

Khe Khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I've lost 4kg of my Body weight since our first defeat (EPL vs City) due to stress caused by this team..
I'm die hard Fan of this team that is why I'm angry to see someone destroyed our hope with no reason but Hitler's pride flowing through his veins.
 
Captain Marvelous njoo umsaidie mwenzio huku muda si mrefu huyu atacheza na sumu ya panya au maji ya betri
Poa ndugu, kushabikia Liverpool lazima uwe na moyo wa plastic si bure aisee inauma sana asikwambie mtu... ubingwa unaunusa huu hapa unapointi 7 zaidi ya anaekufuata aafu kila mechi zinavyochezwa ndio pointi zinazidi kupunguzwa kutoka 7 mpaka kua wa pili...sasa ishu ni pale kwa jicho la ushabiki tunaona timu ina wachezaji wa kuleta nema kwetu ila wanaishia benchi bila hata majeruhi ni wazimaa kabisaaa...

wewe ni shahidi mlivyopata wale majeruhi vs us ilikua Klopp chap alete Shaqir na Keita ndani wapeleke mashambulizi mbele maama game plan ya Ole ilshavurugwo pale na injuries matokeo yake kumbe Klopp alikuja kutafuta draw na si ushindi...

Msimuu tumona Hendo akicheza beki RB unajiuliza Klopp alimtoa Cylne wa mkopo bila plan B..

Mili pia amecheza beki kwenda mbele kusaidia penetration yupo hovyooo

matokeo yake tumepata draw karibia 8 kwa kua na team selectiom ya hovyo kabisa utadhani tunapigania kuingia big four na sio sweet EPL..

hivyo mwana Kop mwenzangu King binafsi namwelewa maana tukilikosa awamu hii basi tutapoteana endapo wachezaji nyota wataodoka..ma bosi wetu nk wawekezaji wenye mahesabu makali sana kwenye kununua wachezaji..

unajiuliza Ole kafanikiwa vipi kwa wachezaji wa kungaunga kushinda mechi 14 tangu ateuliwi..Klopp anashindwa nini..

tuedako panaogopesha..
 
I've lost 4kg of my Body weight since our first defeat (EPL vs City) due to stress caused by this team..
I'm die hard Fan of this team that is why I'm angry to see someone destroyed our hope with no reason but Hitler's pride flowing through his veins.
whats more worrying is that we are stuck with this dude till 2022...n t scary what he wil do by th tym he depart so far naona maumivu...

tired of this scenario za barafu,upepo, majeruhi ya timu pinzani...Klopp ameni panic kuliko wachezaji n that s now eating th whole squad...he ws supposed to be thier comfort lakini sasa amegeuka kituko...

hizo kilo ndugu utazidi kupunguza tu cha msingj kumbali hali ilivyo ndio hii na si vinginevyo..
 
Some good news...Liverpool's Alex Oxlade-Chamberlain will return to action for their Under-23s against Derby County today after almost a year out with injury.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom