Ikhojo
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 527
- 448
Possession waulize Chelsea cc tunajua tunachokitakaMbona kama aielewi maana ya neno possession? Kila saa nasiki filimino filimino aaaahhh maneee maneee manee aaaah halafu possession wapo chini ya Bayern
Alitaka kutoa boko, hahahah, bora angeingia MilnerHivi Captain wetu yumo uwanjani?
kuna anayeweza kuleta stats zake za first half aniambie ni nini anachokifanya/
Mm ni man city. Ila liverpool leo anakipiga. Hatakama atafungwa ila mpira kapiga.
Sio uchochoro bali ni game plan ya bayern kutumia Left wing kwani kama unaangalia mpira Live basi utaona kuwa kuna Coman na Alaba wote wawili wanakwenda upande huo kushambulia kwa wakati mmoja na anakuepo TAA peke yake.
Na kama mpaka sasa hawajaleta madhara manayake TAA amefanikiwa kuwadhibiti kwa mpaka muda huu.