Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,576
- 28,546
Aaa sounds like a place to stratergize how we sail in th next two important games.....Camp ya Marbella angalau ina tija kwa team kwasababu ni zone moja hali ya hewa inakua haiko tofauti sana japo Spain ni warmer zaidi ya UK ila huwezi kufananisha na Dubai.
Good news ni kujumuishwa kwa Brewster na Ox katika trip.
tumeshanusa ubingwa ndugu twaja kuchukua pointi zetu tatu....
kwa sasa pambana na PSG na Chelsi ndio uanze kutawaza sisi...
Na naposema ni ngumu ina maana hilo jambo lina possibility ndogo ya kutokea but haina maana kuwa haliwezi kutokea ila in rare case! Na ndio maana utakuta si kwamba Liverpool haijawahi kushinda OT la hasha ila ni Mara chache sana hasa kwa miaka ya karibuni.na hata man utd si kwamba hashindi Anfield no ameshinda ila si Mara nyingi .ndio maana nikakuambia angalia trend ya matokeo ila kama utaona ni kazi ngoja nikuletee!
Sent using Jamii Forums mobile app
ni sahihi ndugu, ishu ni kwamba kwa namna mbio zilivyonoga kukumbali kufungwa sasa basi hata hio April tutakua tumepotoea...
Hivyo ni bora kupambana ushindi mwanzo mwishoo..
ndio sasa mmehamia kwenye magoli ya offside...
Nakwambia ndugu mbona ni kituko eti nao wamo kwenye mbio za ubingwa msimu huu baada ya kuingia top four.Mwenzako hajui mechi hiyo kwetu ni fainali, nani atakubali kudrop point ili City awe on top permanent hahah yani manure wanavyojifariji unaweza cheka.
Nambie hiyo ni miaka kipindi cha Ferguson? Sitaki tantalila nataka majibu na facts kama navyokujubu Mimi!Tatizo lako unaongelea zilipendwa enzi za wakina Fergu, hivi Liver ya sasa we unaijua au unaisikia kwa watu.
Subir tuje hapo OT tutakuonesha kuwa ubingwa huu tuliousotea kwa miaka 29 tunauhitaji sana, Hatuwez kurisk kudrop hata point moja tena. Mechi hiyo ndo itaamua ubingwa kwetu na usidhan Klopp atawachekea, Mtaenda kupokea kipondo cha mbwa mwizi na harakat zenu za kuwania kurudi UEFA zitakuwa zimeishia hapo.
Hii man utd akiwa anfield ...! Uwe unaongea na reference ! Najua hata assignment huwa zinajibiwa hivyo!Tatizo lako unaongelea zilipendwa enzi za wakina Fergu, hivi Liver ya sasa we unaijua au unaisikia kwa watu.
Subir tuje hapo OT tutakuonesha kuwa ubingwa huu tuliousotea kwa miaka 29 tunauhitaji sana, Hatuwez kurisk kudrop hata point moja tena. Mechi hiyo ndo itaamua ubingwa kwetu na usidhan Klopp atawachekea, Mtaenda kupokea kipondo cha mbwa mwizi na harakat zenu za kuwania kurudi UEFA zitakuwa zimeishia hapo.
Akuna timu inayofungwa kwa kutqka .hata juzi Chelsea alifungwa wakati naye alikuwa anahitaji points Tatu.ila naomba siku hiyo usikimbie kama mashabiki wa Chelsea na arsenal wanavyofanya.wewe endelea tu kunipa matumaini hewa wakati unajua kabisa kuwa hiyo mechi ni ngumu kwako!Mwenzako hajui mechi hiyo kwetu ni fainali, nani atakubali kudrop point ili City awe on top permanent hahah yani manure wanavyojifariji unaweza cheka.
Ha ha ha! Teh teh teh!!Nyie endeleeni kutumbeza, Ubingwa unatua Anfield msim huu.
Tatizo ni pale unapojipa matumaini hewa ya kushinda away katika big mechi.wakati msimu huu Liverpool katika mechi za top six sijajua kama mumeshinda mechi za away. Maana kwa kumbukumbu zangu niNakwambia ndugu mbona ni kituko eti nao wamo kwenye mbio za ubingwa msimu huu baada ya kuingia top four.
Leo wazimwe na Parsians ndio watatoka kwenye ulimwengu wa ndoto.
Sio kwa man u, kwan wewe kunifunga FA ndio unaona umemaliza, maana siku zote huna mpira wowote zaid unategemea miujiza,Huna facts ngoja nikuache unataka kugeuka pweza kutabiri yajayo wakati huna uwezo huo! Nyingi ndio mashabiki wale munajiaminisha wakati unajua mechi ni ngumu mukifungwa munakimbia! At least mashabiki wa Liverpool hasa huyu anaitwa King Ngwaba ingawa ana mapenzi sana na Liverpool ila sometimes anaongea ukweli.wewe nakumbuka hata mechi ya FA ya arsenal vs man utd ulisema utampiga man utd nyingi wakati unajua kuwa hilo litakuwa gumu ,kisa ulimfunga Chelsea. Mwisho wa siku ulikimbia jukwaa na pia nilikuambia ukanibishia .na post yako naikumbuka.acha ushabiki wa hivyo utateseka sana ,,Jaribu kukubali uharisia.kushinda away kwenye Derby za EPL ni ngumu ila inatokea Mara chache.kama unabisha angalia dabi zote za tip six mechi za away ukianzia na timu yenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Arsenal mna guts za kuongea dhidi ya Man Utd??? This is jokeSio kwa man u, kwan wewe kunifunga FA ndio unaona umemaliza, maana siku zote huna mpira wowote zaid unategemea miujiza,
Kiuhalisia huna timu ya kumfunga liver, shukuru tu una upepo na unapata matokeo, lkn timu yako bado ,na kama huamin soon utaniambia ,
Usitambe kisa upepo ,epl ndio ipo hivo, labda uwe kwenye mbio za ubingwa
Wewe man u huwez kupata hata sare kwa liver, liver ana uhitaji na umuhimu wa hiyo mech kuliko wewe,
Ukimfunga liver au kupata sare najipiga ban ya mwez mzima,
Kwa asiyeangalia mpira akisikia mnavyoshinda anaweza kudhan sasa mna timu ya ushind, kumbe upepo tu, next week una upepo unageuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Akuna timu inayofungwa kwa kutqka .hata juzi Chelsea alifungwa wakati naye alikuwa anahitaji points Tatu.ila naomba siku hiyo usikimbie kama mashabiki wa Chelsea na arsenal wanavyofanya.wewe endelea tu kunipa matumaini hewa wakati unajua kabisa kuwa hiyo mechi ni ngumu kwako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii man utd akiwa anfield ...! Uwe unaongea na reference ! Najua hata assignment huwa zinajibiwa hivyo!View attachment 1020610
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni pale unapojipa matumaini hewa ya kushinda away katika big mechi.wakati msimu huu Liverpool katika mechi za top six sijajua kama mumeshinda mechi za away. Maana kwa kumbukumbu zangu ni
Man CTY away (lose)
Chelsea away (draw)
Arsenal away (draw)
Sasa sijajua hayo matumaini unayapata wapi
Hapa chini ni trend ya matokeo yenu mukiwa OT katika miaka ya karibuni. Na siyo kipindi cha Ferguson!View attachment 1020630
Sent using Jamii Forums mobile app
duuh na ndio anawapiga Manure huyu mtakoma kumbezaHa ha ha! Teh teh teh!!