Huyu ni muongo. Anataka kuisaidia liverpool na sio mancity. Mtaona leo kama liverpool hatapata point tatu za bure.Wakati anadhani anamsaidia Man city, Totenham hotspurs wanalinyakua kombe na kuwaancha wote wakiduwaa wasijue la kufanya.
Saiv mkuu nikuombeana mabaya tu saiv hakuna namnaManure tunamwombea Chelsea tu wapigwe ili tuingie top 4 lasimi sasa ligi ilipofikia kila MTU anaombea adui yake njaa
Maneno muhimu sanaJana Man city katusaidia kumpiga Arsenal..Sis tutamsaidia ubingwa tar 24 february. Lazima muende FA ligi iishe wikiendi ijayo
Manure tunamwombea Chelsea tu wapigwe ili tuingie top 4 lasimi sasa ligi ilipofikia kila MTU anaombea adui yake njaa



Kwa jinsi ulivyomwelezea huyo lazima atakua basha/mume wakoPale Westham kuna Jitu moja hivi Jeusi kama mkaa linapasua kuni za mti wa aina yeyote lina mbio,lina nguvu na ni linyumbulifu sijui linaitwaje asee jina kapuni.........Anyway acha nilitakie kheri kwenye mechi yao leo...wakitoa Sare nitahuzunika kidogo lkn tutawapongeza pia ila ushindi ndio target.
COME ON HUMMERS.![]()
Kwa jinsi ulivyomwelezea huyo lazima atakua basha/mume wako
MANUEL PELLEGRINI KASEMA ANATAKA KUWANYOOSHA LIVERPOOL ILI AWASAIDIE MAN CITY KUBEBA KOMBE
MANUEL PELLEGRINI WANTS TO HELP MANCHESTER CITY TO WIN THE TITLE BY BEATING LIVERPOOL TODAY ~ KANGAROO
Samir Nasir na Marko Arnautovic wanaweza kuukosa mchezo dhidi ya Liverpool.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa je Henderson anaweza kutumika hivyo...mannn yajayo yanafurahishaaaaHa ha haaa
Hakua beki japo alikua ana walinda mabeki nyuma zilikua mtu tatu yeye akawa mbele yao
Leo TAA hayupo hivyo RB ni Millie au usajili mpya upande huo anaitwa Henderson...Asije akadhalilika ingawa nawahofia kwa kiasi fulani
na huyo Son wao akishaambiwa sasa wewe ndio tegemeo weee ndogo hua haleti utani ni kazi kazi kwa kwenda mbele.Spurs wana-hunt kimya kimya ni kama wanasubiri dodo chini ya mnazi
Hivi kwanini JK asimtupe Fab kule kulia huyo Hendo akimbie kimbie huko katikati ya uwanja?Leo TAA hayupo hivyo RB ni Millie au usajili mpya upande huo anaitwa Henderson...
na tupo ugenini patamu hapo.
Yap and please have miserable night today ili tukikutana mbeleni ndoto za ubingwa ziwe za jinamiziLeo TAA hayupo hivyo RB ni Millie au usajili mpya upande huo anaitwa Henderson...
na tupo ugenini patamu hapo.
hapo sasa ndio hali tunayokutana nayo kaka, concentration inahitajika ya hali ya juu vinginevyo tutegemee kilio..Nakumbuka maneno yanayofanana na haya Aliyasema Wenger mwaka 2009 hatimae akatuzuia kwa kutoa sare ya 4 - 4 kwenye game yetu na ubingwa akampa Man United.
time wil tell, otherwise loads of game ahead, t anyone among th front three to take, th others u included keep on dreaming..Yap and please have miserable night today ili tukikutana mbeleni ndoto za ubingwa ziwe za jinamizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee jamaa hivi ile kimbiza kimbiza ya hendo unaona inafaa kiasi cha kumtoa Faby pale kati kweli?Hivi kwanini JK asimtupe Fab kule kulia huyo Hendo akimbie kimbie huko katikati ya uwanja?