Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahah tuzidi kushikamana

kocha analalamika snow.. wakati hao hao Foxes wamecheza kwenye hiyo snow..

Sijaelewa ile trip ya dubai ilkua ni nini

Trip ya Dubai ilikuwa ni Picnic tu Mkuu wala usiiwaze sana.

Alilalamika wakati Merseyside hiyo yenye Snow ndiyo Makazi ya Liverpool ambaye ndiye wakuwa ameizoea!!!!

Lakini cha ajabu Lecister aliyekuwa mgeni wa hiyo Snow hakuilalamikia
 
Mara Paap Liverpool yupo nafasi ya 3
damn its scary bttttt we might be heading thea if n if we put team selection based on affection of certain players at th experince of already proven winners case study Fabinho being benched wen ua immediate opponent get beaten previous day..
 
Kushinda Citi leo inamaanisha presha ipo kwetu maana anatupumulia mbaya bado pointi 2 tu...

kesho ugenini, hii presha twende nayo taratibu tu na kusaka ushindi tukijilesi tutaumia.
 
shinda ya Chelsi ni mpaka kocha afoke ndio utaona reaction ya wachezaji, usishangae mechi ijayo Citi akawapiga mengi..

Big games zinaanza na right selection ya timu, hizi mambo za tactics zinakuja baada ya hapo. Chelsea wana Man Power ya kudili na City atleast first eleven kama ilivyokuwa sisi. Tatizo letu ni Uingereza.
 
mbona kuna negativity hivi humu ndani?

tunashika usukani wa ligi na tuna kiporo cha mchezo juu. so, let's enjoy the moment as it lasts guys.... wapinzani wetu wote 19 wanatamani kubadilishana position na sisi.

tunakoelekea timu zote inevitably zita drop points (including Man City na sisi). in fact zinaweza ku drop points even vs the likes of Fulham, etc.

kikubwa ni ku retain focus. we need luck as well.

mifano...... mechi yetu vs M City tuli deserve at least a point lakini 1 cm tu ilitunyima. similarly vs Leicester - tulinyimwa clear penalty while Maguire alitakiwa awe yupo kwenye stands kabla hajatufunga lile goli lao la kusawazisha.

the beauty of all this ni kwamba ziraili (bad luck) anapoamua kutoa roho hachagui - atatutoa roho sisi sote 20 kila mtu kwa zamu yake. the lucky ones are those who purposefully ride their luck....... which is what we must keep doing kwa kuhakikisha our team dedicate their all on the pitch.
 
Kama ambavyo we were happy seeing our former coaches(Hodgson and Benitez) stopping man city, Kesho tuna mechi na timu ya Pellegrin former man city coach

i really hope zile memes hazitaturudia sisi.. Hizi presha tumejitakia wenyewe since tulivoloose ile game ya man city.. I hope tutachkua EPL this time round.. no excuses
 
Asanane hopeless kabisa kashindwa kutufanyia home work yetu, kwa uvivu tulionao na sisi tunalala liwe na liwalo.
 
Kwanza usijekushangaa tukapoteza points kwa Chelsea

Chelsea wanajua kucheza counter kama wakiamua, na ni bonge la silaha kubwa vs City na hata Liverpool.

Game za Chelsea vs City na Liverpool hazitabiriki kabisa.

vs Chelsea tunashinda mwezi wa 4 huko labda tupate majeruhi wapya kipindi hiki ligi itakuwa inaongozwa kwa tofauti ya 6pts
 
Kushinda Citi leo inamaanisha presha ipo kwetu maana anatupumulia mbaya bado pointi 2 tu...

kesho ugenini, hii presha twende nayo taratibu tu na kusaka ushindi tukijilesi tutaumia.

Last trip tuliwapiga 4 hapo kama sikosei ngoja niombe zijirudie tuchukue point 3

Maana saa hizi ukikutana na wapinzani nashindwa hata kuwacheka
 
vs Chelsea tunashinda mwezi wa 4 huko labda tupate majeruhi wapya kipindi hiki ligi itakuwa inaongozwa kwa tofauti ya 6pts

Nice spirit man, mimi pia natamani ila sasa nina kimuhemuhe balaa.

Sasa hivi hata siinjoi kuangalia game za Liverpool kwa sababu ya uoga. Sitaki kupoteza hii nafasi kabisa.
 
Last trip tuliwapiga 4 hapo kama sikosei ngoja niombe zijirudie tuchukue point 3

Maana saa hizi ukikutana na wapinzani nashindwa hata kuwacheka
Kocha wao kasema atapambana mpaka mwisho kushinda ajikusanyie pointi tatu muhimu na awasaidie Manciti...

kasema hivi
We need a good performance against the leaders.

"After that, if we can give a hand to Manchester City, it's not our problem, but of course I am a fan of Manchester City also."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom