Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kabisa kaka Makinda hawa wakipewa nafasi wanaweza mbona ishu ni pale tu kuwapa nafasi ya kucheza na kupata namba ya kikosi, hapo ndio pangumu maana Suso kipindi kile je angemuweka C10 nje, hapana na pengine Klopp aliona hana nafasi ya kupenya.Kuna kila dalili anakwenda Bayen mana kakataa 85 kwa wiki kisingizio hakua akipangwa ha ha haa huko ameahidiwa mpaka jezi ya Roben hata mimi sikai
Haya mamboa ya kupuuza vipaji na kuwatenga sana ni mbaya sana.
Kocha wa Glujic huko anadai kama siyeye wangekua chini kabisa wa msimamo.
Ajabu kule Madridi naziona sura ngeni ambazo sizani kama ningeziona kwa kocha asie jiamini yan Close hayupo na tim ipo poa kabisa
Makinda ni muhimu sana wanapunguza ghalama Suso alikua poa sana tim alipo ndo inamuangusha kwa sasa kuna kijana kapewa jezi 10 Lazio yuko vizuri nazani hakupewa muda pia hakupangwa mahali apendapo.
Hili lakupangwa sehem usio ipend tunaipuuza tu ila inawakera sana wachezaji Pogba amekua mfano hai wasioweza kutamka wakipangwa hucheza chini ya kiwango maksudi ajabu walimu walimu wananunua wachezaji wa aina moja wakilazimisha kuwapanga wapendapo.
Salah anakua bora sana akiwa kulia anapangwa kati Mane amezoea kuwa kushoto juzi kapangwa kulia ili Keita acheze kushoto na alivyotoka tuliona Mane alirudi kushoto na kufanya jambo muhimu.
Namuombea mema Santigo Sorari kwa nilicho ona juzi na Sevila
hehehe itakua ya Arusha mkuu haikuachi salama.Unamaanan Salah asifunge goli hata moja kuanzia sasa mpaka mwisho wa Msimu then Huyo Punguani sijui Higuan afunge goli 17 au?
Bro bangi haikufai iache
This guys was a hardworker been in th right tym n in th ryt team, he was n will always remain our Hero.On this day 100 years ago, the great Bob Paisley was born.
He is the most successful English football manager of all times. Having spent nearly half a century at Liverpool FC as a player, physiotherapist, coach and then manager.
View attachment 1002593View attachment 1002594View attachment 1002595
Safi Mkuu tunaongoza ligi kwa pointi nne.January inakaribia kuisha Chief..!
So so good news, th team is Top of the league, financialy gaining ground...aa raha kwa upande wa majogoo mazuri yaja.
Atapoteza Vs Man U, vs Chelsea, Vs Leister.Unaweza kutaja hizo game 3 ambazo Man City anapoteza clearly..!?
Nataka nibet,ukinitajia hizo mechi nitashukuru sana..!
Wewe utapoteza vs CHELSEA, Man United..Atapoteza Vs Man U, vs Chelsea, Vs Leister.
Atatoka draw Vs Arseno, Vs Crysto
lol if wishes were horses....
Umesahau kuweka na FA yenu..!May haifiki tu tukabiziwe Mzigo wetu wa EPL.
Tukabiziwe UEFA yetu
Salah akabiziwe Golden Boot yake
VVD Mchezaji bora
Alison kipa bora.
This is our Year.
Point kumi eenhe..!?Safi Mkuu tunaongoza ligi kwa pointi kumi.
Sawasawa kabisa...Atapoteza Vs Man U, vs Chelsea, Vs Leister.
Atatoka draw Vs Arseno, Vs Crysto
lol if wishes were horses....
Kuna vitimu viwili bila kutarajia vitaharibu sherehe yenu ya ushindi.EPL nadhani imeisha
It’s coming home
Sent from my iPhone using JamiiForums
Chuga baba, tangu ligi inaanza hayo maneno hatuchomoki yangekua kweli tungekua nafasi ya 6 au 10..
Aaa pointi nne Mkuu.Point kumi eenhe..!?
Basi safi..!
Wewe endelea kushinda tu,huku wenzako wanaendelea kupoteza,yaani kama uchawi vile..!
"adui" yako mwombee njaa aisee...Sawasawa kabisa...
Wewe kwakuwa una timu bora kuliko City utajipigia wote hao ambao watamfunga City...
Na katika kuendelea kuthibitisha ubora wa timu yako, hao ambao wewe umewafunga City atatoa nao sare..!
Hakika huu ni mwaka wenu..!!!
Duh mna maneno ya shombo[emoji23][emoji23] kama Hamorata alishindwa Shuwaini ataweza nini?
Hahaha good things come from watching and waitingEPL nadhani imeisha
It’s coming home
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ume mpinga ollechuga alichosema lakini baada ya hapo ukaanza kuwaza kama yeye anavyowaza,kimsingi alichosema jamaa na wewe unachosema hakuna tofauti labda majina ya team tu.Chuga baba, tangu ligi inaanza hayo maneno hatuchomoki yangekua kweli tungekua nafasi ya 6 au 10..
hivyo mpaka sasa ligi twaongoza sisi mkuu, mtulie kabisa tufanye yetu, Chelsi mkiniletea gemu kama ulivyocheza na Aseno ujue utakufa nyingi tu, pale Anfiled pamekua kisiki kwa sasa kutufunga ujipange.
ManU pamoja na ushindi mfululizo udhaifu unaonekana nyuma na siku si nyingi wataanza kuchezea vipigo. Traford wakijitahidi sana sana ni draw.
Hongera kwa Higuan japo umri umemtupa lakini ni jembe muda utasema kama EPL ataimudu.