Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
kweli Mkuu sisi Liverpool Halisi mipango yetu lilikuwa ni Kuchukuwa makombe Manne!
Lakini tulipotolewa Carabao basi mipango yetu ikawa ni kuchukuwa Makombe 3 kwani Carabao likawa la kipumbavu.
Tulipotolewa FA basi mipango yetu ikawa ni kuchukuwa makombe 2 ya EPL na CL kwani FA ni la kipumbavu 😀😀
Kunasiku nilicheka mpaka basi hapa!
Nakumbuka vizuri kuwa last msimu wa 2016/17 tulimkataa Moreno baada ya mechi ya kwanza kuchomesha goli 1 dhidi ya Arsenal tuliyoshinda 4-3
Basi Mliverpool Halisi alitukosoa na kusema hatujui chochote klopp najua zaidi! 😀😀
Msimu uliopita 2017/18 baada ya kusajiliwa Robertson pia tukamkataa Moreno na tukataka achezeshwe Robertson, Basi Mliverpool alituambia Klopp anajua zaidi kumpanga Moreno, sisi hatujui chochote Robertson hawezi kucheza mbele ya Moreno!
Lakini cha ajabu hapa kuna siku alikuja na mpasho wake kuwa eti 'Klopp katuumbua kupitia Robertson kwani tulimponda kuwa kanunua mchezaji kutoka timu iliyoshuka daraja' ha ha ha ha ha
Jamaa anageuza maneno kila sekunde..
Kuna siku atakuja kusema hapa kuwa Alisson katuumbua kwani tulimponda kusajiliwa kwake.. [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
katika uhasia tu mkuu,unataka kusema wewe unajua kuliko JK?kweli Mkuu sisi Liverpool Halisi mipango yetu lilikuwa ni Kuchukuwa makombe Manne!
Lakini tulipotolewa Carabao basi mipango yetu ikawa ni kuchukuwa Makombe 3 kwani Carabao likawa la kipumbavu.
Tulipotolewa FA basi mipango yetu ikawa ni kuchukuwa makombe 2 ya EPL na CL kwani FA ni la kipumbavu 😀😀
Kunasiku nilicheka mpaka basi hapa!
Nakumbuka vizuri kuwa last msimu wa 2016/17 tulimkataa Moreno baada ya mechi ya kwanza kuchomesha goli 1 dhidi ya Arsenal tuliyoshinda 4-3
Basi Mliverpool Halisi alitukosoa na kusema hatujui chochote klopp najua zaidi! 😀😀
Msimu uliopita 2017/18 baada ya kusajiliwa Robertson pia tukamkataa Moreno na tukataka achezeshwe Robertson, Basi Mliverpool alituambia Klopp anajua zaidi kumpanga Moreno, sisi hatujui chochote Robertson hawezi kucheza mbele ya Moreno!
Lakini cha ajabu hapa kuna siku alikuja na mpasho wake kuwa eti 'Klopp katuumbua kupitia Robertson kwani tulimponda kuwa kanunua mchezaji kutoka timu iliyoshuka daraja' ha ha ha ha ha
Jamaa anageuza maneno kila sekunde..
Kuna siku atakuja kusema hapa kuwa Alisson katuumbua kwani tulimponda kusajiliwa kwake.. [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mimi ni GUNNERS HALISIA
katika uhasia tu mkuu,unataka kusema wewe unajua kuliko JK?
jibu NDIYO/HAPANA...............hapo ndipo tutajua jamaa alikuwa sahihi au wrong?
naona naona mkuu hongereni sana bwana
Kloop OUT
Buvac In
We miss Buvac too much,yy ndiyo kichwa cha Klopp,bila Buvac huyu Klopp si mali kitu kabisa na atafukuzwa Liverpool na ndiyo Buvac atapewa team!
Kuna watu hapa uwezo wao kuchambua soka mhhh!
Liverpool doesnt miss Buvac!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
habari ni kwamba yule Mo-diver jana kaendelea kushirikiana na marefa kupeleka free 3 points pale anfield but ipo siku
naona naona mkuu hongereni sana bwana
Rice hammered the assMkuu nakukaribisha jamvini
Karibu Mchele(Rice) [emoji23][emoji23]
Kipi kilimfanya aondoke?
Sisi kama mashabiki kikubwa tunaangalia ushindi.kabla ya klopp palikuwa na makocha wengine bora hapo Liverpool ,wakaondoka wamekuja wengine swala la kuondoka au kufukuzwa
Kwa klopp ni kawaida kwa sababu yeye sio wakwanza kuifundisha liverpool au kufukuzwa liverpool.
Liverpool inampenda sana klopp alivyokuja walimpa mkataba wa miaka 6,ingawa watu waliponda hakutakiwa kupewa miaka yote hiyo.
Kuna siku kwenye skysports nilimsikia rooney anaulizwa kuhusu man u,anasema kocha anayefaa kuifundisha man u kwa sasa ni klopp,
Klopp kwa sasa ni lulu, ukisema umuondoe sasa hivi ,timu kibao zinamtaka wanataka wamena kocha kama huyo.
Kilitusaidia huo mkataba wa miaka 6,ilikuwa ngumu kuondoa hata yeye anaona timu inampenda na kumkubali.
Tumemmis pia ila sasa hayupo tunafanyaje? Tunaacha kucheza mpira tumsubirie? ,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawa Liverpool Echo ni pure Liverpool Halisi!!!
Sote ni mashahidi hapa kuwa mwanzoni mwa Msimu walimponda sana Fabinho kwenye Kila Makala ya Gazeti lao ili kumpa promo Hendo aendelee kucheza DM.
Lakini cha ajabu sikuhizi kila Article wanayotoa ni Kumsifia Fabinho tu utazani hawakuwahi kuwaaminisha watu kuwa ni mchezaji mbovu.
Sasa kidogokidogo wanaanza kumsahau Captain wao.
ECHO sasa hivi ni Fabinho na VVD ndo habari kubwa.
Nasubiri siku Keita akiweza kuikaa namba 8 vizuri tu ili Hendo apishe kabisa.