Droo ya Southampton imekuvuruga na muda sio mrefu Mtaa wa 6 utakuhusuBREAKING NEWS.
Nasikia leo David Silva kaamka na tumbo la kuhara kwa hiyo hatacheza. Halafu Aguero kaamka na chongo kwa hiyo mnaweza kuanza kupumua. Hizi ndio habari njema kwenu. [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umenena vyema sana Mkuu, ukweli hatuna RB mwingine zaidi ya TAA maana hata Clyne kwa ndogo anasubiri.....Mkuu kuna watu kwenye Mpira wanaangalia only one Factor na si mile Mchezaji anacho offer kwa upande wa pili.
Hivi mtu haangalii Pace ya Leroy Sane winger ya kushoto?
Kwa Pace ya Sane kumuekea Milner ambaye umri hauwezi kumpa tena pace ni kujitafutia majanga tu!
Nakuhakikishia Watapata Penalty Kick mapema sana.
Kwani Milner hana uwezo wa kumkimbiza Sane
Kazi kazi leo kitaeleweka tu...Antony Taylor ni Mancucian
Mkuu kuna kitu utakuwa ujaki-note. Robbo mara nyingi ndio amekuwa mzuri kwenye kuanzisha mashambulizi kuliko mchezaji yoyote kikosini kwa sasa. Kwa kasi yake na cross zake ni mzuri zaidi katika kufanya caunter attack,kuliko kuanzia kwa Fabby.Line Up yangu ya Leo:
MANE-BOBBY-SALAHIwapo Milner hatakuwa fiti enough kucheza basi namueka Hendo acheze kama Namba 8.
MILNER - FABI - GINI
ROBO-VVD-LOV-TAA
ALISSON
Na mapendekezo ya Game plan yangu ni kwenda na Mentality ya Kutafuta Draw huku nikiipanga timu kwa Kaunta ambayo nitakuwa na mkakati kwa FABINHO na SALAH kwenye Kaunta.
Fabinho nitampa kazi ya kuanzisha Mashambulizi ya Kaunta Kwa Kupiga mipira mirefu kwa Salah.
Mangi kwa sasa naona nafasi ya nne mtachomoka maana Manure inaitaka mjiangalie kaliamsha dude...
Mkuu Milly kucheza RB leo vs City ni kujitafutia kipigo maana kwa pace ya Sterling or Sane atakimbiza upepo...
Aidha apangwe TAA or Clyne, Milly apangwe midfild tu.
Waamuzi wa leo vs Manshit ndio hawa hapa,
Referee: Anthony Taylor
Assistants: Gary Beswick, Adam Nunn
Fourth official: Martin Atkinson
Mkuu kuna kitu utakuwa ujaki-note. Robbo mara nyingi ndio amekuwa mzuri kwenye kuanzisha mashambulizi kuliko mchezaji yoyote kikosini kwa sasa. Kwa kasi yake na cross zake ni mzuri zaidi katika kufanya caunter attack,kuliko kuanzia kwa Fabby.
Kwa game ya leo ningependa kama Milner atakuwa fit aanze flank ya kulia TAA aanzie banch. Aingie kuanzia dk ya 70...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna kitu utakuwa ujaki-note. Robbo mara nyingi ndio amekuwa mzuri kwenye kuanzisha mashambulizi kuliko mchezaji yoyote kikosini kwa sasa. Kwa kasi yake na cross zake ni mzuri zaidi katika kufanya caunter attack,kuliko kuanzia kwa Fabby.
Kwa game ya leo ningependa kama Milner atakuwa fit aanze flank ya kulia TAA aanzie banch. Aingie kuanzia dk ya 70...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu watu wengi wanataka Milner acheze RB hii itakuwa ni kucheza Gambling Watu wanaamini sana katika kujituma kwa Milner na Nguvu kazi yake wanasahau kujiuliza hiyo nafasi ya RB akicheza ataicheza kwa Uwezo na Ubora hili swala la kulazimisha mtu acheze Out of position lina madhara makubwaHivi unaangalia game za Man City Mkuu?
Au kumbuka game za last season tulizokutana na Man City!
Mkuu si kwamba Milner hawezi kucheza vizuri RB! lakini tuangalie na aina ya opponent wetu
Ungelikuwa unajua jinsi Sane anapokuwa na mpira mguuni anavyokimbia basi ukimuekea Milner umemrahisishia kazi tu manake akishamtoka hatua moja basi kumkamata ni ndani ya nyavu.
Mkuu hahitaji Milner bali anahgitaji FB anayeweza kukimbia, lakini Milner kukimbia hawezi tena.
Kwa game ya leo RB ni TAA au Clyne ndiyo wanaoweza kublock pace ya Sane.