Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahahahahah, umenichekesha sana mkuu, hawa jamaa kweli wana mu- under late sana hendo aiseeee mpaka tunachekwa na watu wa aseno

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio tu Hendo
Hawa walikuwa wanamtukana sana pia Klopp,mm na wenzangu tukawa tunakesha nao lkn kawanyoosha ndiyo sasa wanarudi,wao kwao kocha wao bora duniani ni Pep!

Hapa Lovren alikuwa anatukanwa sana sasa wamenyooshwa na Lovren wameufyata

Hendo ni kikosi cha kwanza cha Liverpool na anaanza Alhamis na tunampiga City na kuchukua ubingwa mechi 17 mkononi na watapata aibu sana!

Yaani kweli hawa ndiyo wakupinga kazi za mikono ya genius Klopp?Hawa kweli?
Upuuzi mtupu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa sasa Faby, Gin, na Naby ni wa kuanza maana tuna cha njaa ya kutosha, lkn haina maana ya kwamba hao wengine hawana umuhimu kamanda, umuhimu na heshima yao iko pale pale

Sent using Jamii Forums mobile app

What does it tell kama una timu ambayo kuna watu watatu wanacheza almost the same number na Captain halafu wanamweka benchi?

Captain is a leader, anatakiwa kuongoza kikosi muda wowote, yeye ndiye anayepokea maagizo kwa kocha na kuwafikishia wenzake timu inapokuwa uwanjani, sasa akiwa benchi hiyo kazi ataifanyaje?

Nadhani unaelewa point yangu hapo.
 
Hawa jamaaa hata mm nashindwa kuwaelewa aiseeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kamwe kamwe hatuwezi tena kurudi misri kwa kuweka flat midfield butu ya Gini, Hendo, millie ambayo ilitukost katika mechi nyingi pamoja na kutupunguzia idad ya ushindi wa magoli.

Kwa sasa Fabhino hazuiliki kuwepo kwenye kikosi, makosa kila mchezaj anafanya, lakin tunaangalia postivity anazotumia anacontribute kuwa nyingi kuliko hasara.
 
Wachezaji ni akina nani sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wachezaji ni:

Alison
Matip
VVD
Gomez
TAA
Robbo
Fabinho
Gini
Keita
Milner
Xhaqiri
Mane
Salah
Firmino


Na bench kuna

Clyne
Sturridge
Moreno


Waliobakia wote ni Magarasa tu yakutafuta njia yakaenda:
Magarasa hayo ni:

Mignolet
Hendo
Lovren
Lallana
Origi
Solanke
Markovic
 
Mechi na aseno Emirates alicheza fabby ns hendo hakuwepo nazani tuliona jinsi torrira na aseno yao walivyotukimbiza mpaka tulikoma, ikaja mechi na red Star, tulipata tabu mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya Man Utd siyo muhimu?

Mechi ya Arsenal siyo Muhimu?

Mkuu hao watu unaowataja wana uelewa mkubwa wa kuchambua mpira hapa kwenye jukwaa, tunaiona michango yao na kuielewa.

Tunaomba na wewe uwe unaweka analysis (pre and post match) ili tuuone uwezo wako wa kiuchambuzi ili tuseme kweli unachokiamini unaweza kukitetea.
 
Mechi na aseno Emirates alicheza fabby ns hendo hakuwepo nazani tuliona jinsi torrira na aseno yao walivyotukimbiza mpaka tulikoma, ikaja mechi na red Star, tulipata tabu mno

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaiangalie tena List ya Mechi na Red Star waliyotufunga tulipata tabu kwanini?

Kwenye Mechi hiyo hakucheza Fabinho Mkuu..

Waliocheza ni hao Kina Hendo.
 
Madrid hakutufunga kiuwezo, ila watuumiza kisaikolojia na kutufunga kisaikolojia, lkn si kimpira wakati mwingine mwe mnaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni kwamba sasahivi hawajui ni kwanini tunashinda Magoli mengi tokea aanze kuchezeshwa Fabinho tofauti na mechi za mwanzo tulizokuwa tunashinda 1 au 2.
 
Mechi na aseno Emirates alicheza fabby ns hendo hakuwepo nazani tuliona jinsi torrira na aseno yao walivyotukimbiza mpaka tulikoma, ikaja mechi na red Star, tulipata tabu mno

Sent using Jamii Forums mobile app

Mechi ya Anfield Torreira alikuwepo, Hendo hakucheza, je ulimwona akifanya aliyoyafanya Emirates?

Fabinho alikuwa ndo anaanza kuchezeshwa, improvement imeonekana, BTW wewe umekiri kuwa Fabinho, Gini na Keita wanatakiwa waanze mbele ya Hendo kwa sababu tunatafuta ushindi?

Ulikuwa na maana gani? Kwamba mechi ambazo hatuhitaji ushindi ndo Captain aanze au siyo? Kama ndo hivyo mbona tunaongea lugha moja.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…