thanks ndg yangu nimekuelewa vizuri sana kwahyo kama ingetokea tumelingana kila kitu na psg basi ingekula kwetuCL haiangalii GD tu Bali inaangalia Kwanza:
1) Points: Tulipolingana points wanaangalia pili:
2) Head to Head: Kama Head to Head tupo sawa basi tatu wanaangalia:
3) GD: Iwapo tofauti ya Magoli ya Kufungwa na Kufunga tupo sawa basis NNE wanaangalia:
4) Aliyefunga Magoli mengi: Sasa sisi na Napoli tupo sawa Kwenye 1 mpaka 3 lakini Kwenye 4 tumemzidi sisi tumegunga magoli mengie zaidi kuliko yeye Mana kwenye Red Star pekee tumegunga magoli 4.
Bado kwenu Klopp is not a top
Manager na BVB walituuzia fwamba?
Ehehehe jamani tutunze maneno
Na me ni trader pia, ila sijachukua kwako ,nilitafuta tu google picha ya kuweka nikaweka hiyo sijachukua kwako,imetokea tu kufanana,
Nitaenda google kutafuta nyingine hiyo nikuachie Usijali mkuu
Man, Gomez will find it hard to take his spot back from Matip
what a performance today......
Mr. Lovren will be out of the squad soon, the way this shit is heading lol


Niliona leo mkishinda toka mapema
Hongereni majogoo, naombeni wikiend nipigien man u kipigo cha mbwa koko,
Ila kwa upande mwengine sio mbaya
Kwenye futuhi hakutakua na fujo sana![]()
Mkuu Ni Kweli Tunamlaumu Klopp lakini Kuwa Mkweli sema mile tunachokisema tafadhali nakuomba kwa Hilo.
Mkuu unajua wazi Kuwa Hatujawahi Kusoma Klopp Ni Kicha Mbovu.
Tulichosema sisi Ni Kuwa Klopp sio World Class Manager Kwasababu bado Hajatupa Kombe.
Lakini Hatujasema Kuwa Klopp Ni Kocha Mbovu.
Wala hatujasema Kuwa Klopp sio Top Manager.
Luna tifauti Kati Kati ya World Class na Top Class Mkuu.
Klopp Ni Top Class lakini sio World Class.
Mwisho Wa Huu Msimu Tutatazama atakachopata na ndiyo Dunia itamuhesabu Kuwa Ni World Class.
Kuwa Mkweli sisi hatujachanganyikiwa tunajua tunachokiandika.
Halafu jengine Ni Kuwa Kocha Tumpime mwisho Wa Msimu Tusiangalie Kushinda Mechi.
Kwa timu yangu simuogopi yeyote, hasa hao waitaly,Nadhani umemuona vizuri huyo Napoli jipange Kisaikolojia
Bado kwenu Klopp is not a top
Manager na BVB walituuzia fwamba?
Ehehehe jamani tutunze maneno
This cop is superb, Man anamapafu ya umbwakwangu mimi mana of the match ni
View attachment 965316
Team imefanikiwa kupita kwenye hatua ngumu after 3 losses in row kwenye away grounds
instead of celebrating with your fellow reds for winning a great match which seemed impossible and difficult to win unakuja na subliminal za kipuuzi kama hizo,
it seems unaangaliaga match kwaajili tu ya after match - reactions za humu ndani, and i guess you have never celebrated ushindi wa team yako properly.
grow up you stupid man.
Matip is injury prone he will not last longer... Soon atarudi Kitandani kuuguza majeraha.. Let's pray awe fit mpaka Gomez apone.
Thank you, nimejibana sana kumjibu aisee.
Jamaa atakuwa na shida binafsi, siyo ushabiki tu huu.
What a miss
Team imefanikiwa kupita kwenye hatua ngumu after 3 losses in row kwenye away grounds
instead of celebrating with your fellow reds for winning a great match which seemed impossible and difficult to win unakuja na subliminal za kipuuzi kama hizo,
it seems unaangaliaga match kwaajili tu ya after match - reactions za humu ndani, and i guess you have never celebrated ushindi wa team yako properly.
grow up you stupid man.