Liverpool wanahitaji kucheza kama hawatocheza tena, vivyo hivyo kwa SS Napol. Inawezekana Liverpool wanauhitaji mkubwa sana wa alama tatu(3), ila pengine SS Napol wanauhitaji mkubwa zaidi wa alama moja(1).Hizi Rekodi Zimewekwa Kwa Ajili Ya Kuvunjwa!
Hata Stoke City, Crustal Palace na West Bromwich Albion Wakati anakuja Klopp Liverpool ushindi wetu kwao ulikuwa Ni Draw, tena hiyo Draw tunaweza kuipatia Anfield na si Away lakini tukapambana mpaka tukaondosha Rekodi za Uteja Kwao.
Sasahivi Hao wote tunapiga Nje Ndani.
Kwahiyo na Huyo Refa Bundi wake tunamchoma Mishkaki Leo usiku na Kumlia Ugali.
Hayoo ndo manenoo umemalizia vyemaaNimekuelewa sana mkuu.. Ila leo tunafuta uteja..
Tunamzawadia kabisa na goli lake...
Mkuu game saa ngapi??We go Again
Inshallah
Saa tano kamiliMkuu game saa ngapi??
Henderson's last chance to show what he's made of. it's a make or break for him.... just like it happened to Mignolet when he lost his spot to Karius!Henderson- Milner - Gini ... with this!!! Let's pray for miracles
Mara ya mwisho unashinda kwa united ..ilikuwa msimu gani vile??Mkuu ina maana kwa mtazamo wako hao gooners ni zaidi ya Liverpool...
Murinyo huyu pale Anfield sana sana atakuja kuisaka draw na sioni akiipata zaidi ataambulia kipigo...
mtasubiri sana sie kupigwa Jpili ni gemu ya 17 bila kupoteza EPL na point 3 safi kabisa...
Endelea kujipa matumaini ...leo huna pa kutokea..Leo Tunampiga Napoli Na Kutinga Last Sixteen!
Nani anabisha? Rant boys? Gooners?
For what I know Liverpool have already switched their energy na wachezaji tayari wameanza kupigana kwa ari! Na hilo mutalishuhudia leo vs Napoli.
Ninachowaza kwasasa ni jee Knockout stage tutakutana na nani? Na sio nipoteze muda kuwa leo Tutaqualify vipi1
Chelsea Ku run EPL ni suala la muda tu..Then baada ya hapo Chelsea ataongoza ligi